url
stringlengths
18
212
text
stringlengths
608
373k
index
stringlengths
64
64
word_count
int64
100
24.7k
mean_word_length
float64
4.5
15.8
num_sentence
int64
3
547
character_count
int64
502
349k
line_count
int64
1
1
fraction_of_duplicate_lines
float64
0
0
fraction_of_characters_in_duplicate_lines
float64
0
0
symbol_to_word_ratio
float64
0
1
fraction_of_words_without_alpha
float64
0
10
num_of_stop_words
int64
10
2.51k
https://www.ajira.go.tz/photo_gallery
KARIBU SANA TUKUHUDUMIE KATIKA VIWANJA VYA NANENANE DODOMA Aug 07, 2024 Watu mbalimbali wakiendelea kupata elimu katika viwanja vya Nanenane - Dodoma Jul 20, 2024 Huduma zikiendelea kutolewa kwenye Viwanja vya Maisara Zanzibar Jul 17, 2024 Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akimsikiliza mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Bibi Lynn Chawala alipotembelea banda lao la Maonesho katika viwanja vya Maisara - Zanzibar Jul 14, 2024 Katibu Msaidizi upande wa Mifumo ya TEHAMA Bw.Musa Mselem akitoa mafunzo ya Mfumo wa Ajiraportal katika Chuo cha Mtakatifu John kilichopo jijini Dodoma Jul 14, 2024 Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu John wakipatiwa mafunzo ya Kujiunga na Mfumo wa Ajiraportal katika Chuo hicho jijini Dodoma Jul 04, 2024 Karibu utembelee banda letu kwenye maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa(Sabasaba) jijini Dar es salaam Jun 23, 2024 Mkuu wa Idara ya TEHAMA Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye ametembelea banda la ofisi hiyo katika kilele cha Wiki ya Utumishi wa Umma Jun 21, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete ametembelea banda la sekretarieti ya Ajira katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Jun 21, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Jun 21, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Jun 21, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete pamoja na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Bw. Juma Mkomi wametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Jun 20, 2024 Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja. Jun 19, 2024 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Bw.Xavier Daudi ametembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Jun 19, 2024 Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma Jun 04, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akifungua mafunzo ya Saikolojia kwa Watumishi wa Ofisi hiyo mkoani Iringa Jun 04, 2024 Dkt.Mustapha Almasi kutoka Chuo Kikuu Mzumbe akiendesha mafunzo ya Saikolojia kwa Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira mkoani Iringa Jun 04, 2024 Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Saikolojia mkoani Iringa Jun 04, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Sekretarieti ya Ajira walioshiriki kwenye mafunzo hayo mkoani Iringa Jun 04, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi walioshiriki mafunzo hayo mkoani Iringa Jun 04, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi walioshiriki mafunzo hayo mkoani Iringa May 30, 2024 Karibu katika banda la Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwenye Viwanja vya shule ya Sekondari Popatlal jijini Tanga kwenye maadhimisho ya wiki ya Kitaifa ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu ambapo elimu kuhusu uendeshaji wa mchakato wa ajira pamoja na ufanyaji wa usaili kidigitali inaendelea kutolewa. May 01, 2024 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani jijini Dodoma May 01, 2024 Heri ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Apr 24, 2024 Sekretarieti ya Ajira imeweza kuendesha Usaili wa kuandika Kidigitali katika Mikoa, Wilaya na Kata Apr 22, 2024 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa TUGHE tawi la Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro Apr 22, 2024 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa idara na Vitengo katika baraza la Wafanyakazi mjini Morogoro Apr 22, 2024 Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro Apr 22, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akisoma hotuba yake katika Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro Apr 07, 2024 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakishuhudia msailiwa akifanya usaili wa njia ya kidigitali mkoani Manyara Apr 07, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete akishuhudia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali ukifanyika jijini Dar es Salaam Apr 07, 2024 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Bw.Samwel Tanguye wakiingia kwenye chuma cha kufanyia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali katika Chuo cha St.Joseph jijini Dar es Salaam Apr 05, 2024 Unapokuja kwenye Usaili tafadhali beba Vyeti vyako vyote halisi na Kitambulisho kwa ajili ya Utambuzi Apr 03, 2024 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Sophia Kaduma akimkaribisha Mjumbe mpya wa Sekretarieti ya Ajira Bw.Abdi Faki (Mwakilishi wa Zanzibar) kwenye kikao cha Wajumbe wa ofisi hiyo katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma Apr 03, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani akizungumza na Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi.Sophia Kaduma katika kikao cha Wajumbe wa Ofisi hiyo Apr 03, 2024 Kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira kikiendelea jijini Dodoma Apr 03, 2024 Wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa kwenye kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma Mar 31, 2024 Heri ya Pasaka Mar 26, 2024 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani (katikati) akizungumza na Watumishi katika mafunzo ya Mfumo wa Kutathmini utendaji kazi kwa watumishi wa Umma Mar 26, 2024 Kaimu Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Innocent Bomani akifungua mafunzo maalum ya mfumo wa kutathmini utendaji kazi wa watumishi wa umma PEPMIS kwa watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira. katika Utumishi wa Umma Mar 25, 2024 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (katikati) akifuatilia kikao kazi cha wadau wa Ajira akiwa pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Innocent Bomani (kulia) .pamoja na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye Mar 19, 2024 Tunakupongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufikisha miaka 3 ya Uongozi wako wenye mafanikio makubwa. Mar 01, 2024 Pumzika kwa amani Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi Feb 13, 2024 Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Mathias Abisai (kulia) ameiongoza kamati hiyo kufanya ukaguzi wa ujenzi wa jengo la taasisi hiyo unaoendelea jijini Dodoma Feb 05, 2024 Poleni sana kwa Msiba, Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe. Amen Feb 02, 2024 Menejimenti ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ikiwa katika kikao na Msimamizi wa mali za Serikali Mkoa wa Dodoma Jan 27, 2024 Happy Birthday Rais Samia Suluhu Hassan Jan 22, 2024 Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini Bw. Joachim Nyanda akitoa mafunzo kwa Maafisa bajeti wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma namna ya kuandaa Mpango na Bajeti ya Taasisi kwa mwaka wa fedha 2024/2025 mjini Morogoro. Jan 16, 2024 Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma unaendelea na unatarajiwa kukamilika ndani ya mwaka huu wa fedha 2023/2024. Jan 16, 2024 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa umma Bi. Sophia Kaduma (katikati) akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi Jijini Dodoma Dec 25, 2023 Heri ya Mwaka mpya 2024 Dec 21, 2023 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika Hoteli ya Morena mkoani Morogoro Dec 21, 2023 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Wawakilishi wa Idara na Vitengo wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Dec 21, 2023 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Washiriki wa Baraza la Wafanyakazi katika Hotel ya Morena mkoani Morogoro Dec 21, 2023 Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kikiendelea mjini Morogoro Dec 21, 2023 Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Dec 21, 2023 Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Innocent Bomani akizungumza wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi mjini Morogoro Sep 07, 2023 Watumishi wapya wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa umma wakiwa katika picha ya pamoja na Wakufunzi kutoka chuo cha Utumishi wa Umma, baada ya mafunzo elekezi yaliyofanyika katika Ukumbi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi - Dodoma Sep 07, 2023 Watumishi wapya wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipatiwa mafunzo elekezi kwa kushirikisha wataalamu kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira na Chuo cha Utumishi wa Umma Aug 04, 2023 Wadau wa Ajira wakiwa kwenye picha ya pamoja jijini Dodoma Aug 04, 2023 Wadau wa Ajira wakiwa kwenye mkutano wa kukusanya maoni ya kuboresha sheria za uendeshaji wa mchakato wa Ajira jijini Dodoma Jul 29, 2023 Wasailiwa wakisikiliza maelekezo ya jumla kutoka kwa Afisa wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kabla ya kuanza usaili wa kuandika jijini Dar es Salaam Jul 20, 2023 Wasailiwa wakisikiliza maelekezo ya jumla kutoka kwa Afisa wa Sekretarieti ya Ajira kabla ya kuanza usaili wa mahojiano jijini Mwanza Jul 12, 2023 Bw. Jutoram Kabatele akipokea huduma katika Banda letu la Maonesho ya Sabasaba Mkoani Dar es Salaam Jul 11, 2023 Huduma zinaendelea kutolewa katika Viwanja vya Maonesho ya Sabasaba - Dar es Salaam. Karibu sana tukuhudumie Jul 09, 2023 Wateja wakiendelea kupata huduma katika banda la Maonesho ya Sabasaba ndani ya Jakaya Mrisho Kikwete "Tent" Jul 09, 2023 Karibu sana katika Banda letu la Maonesho ya Sabasaba - Dar es Salaam. NJOO TUKUHUDUMIE Jul 04, 2023 Karibu sana tukuhudumie katika viwanja vya Sabasaba - Dar Es Salaam, Banda la Jakaya Kikwete Jul 04, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge anatoa pole kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki wa marehemu. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe Jun 30, 2023 Maafisa bajeti Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye kikao kazi jijini Dodoma. Jun 28, 2023 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene akikaribishwa na watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Jun 28, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akifafanua jambo katika kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George B. Simbachawene alipotembelea Ofisi ya Rais Sekreterieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kuongea na Menejimenti Jun 28, 2023 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George B. Simbachawene (katikati) akifuatiwa na Naibu Waziri Mhe. Ridhiwani Kikwete (kulia) wakiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Jun 28, 2023 Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa tayari kutoa huduma kwa jamii Jun 23, 2023 Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Taasisi za Umma. Jun 23, 2023 Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akitoa hotuba katika Uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja jijini Dodoma Jun 23, 2023 Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akiwa na Viongozi wa Taasisi za Umma baada ya Uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja jijini Dodoma Jun 23, 2023 Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge (wa nne kushoto) akipokea Mkataba wa huduma kwa mteja baada ya uzinduzi. Jun 23, 2023 Baadhi ya Watumishi kutoka Taasisi mbalimbali za Umma wakifuatilia hotuba ya uzinduzi wa Mikataba ya Huduma kwa mteja iliyowasilishwa na Waziri wa Utumishi Mhe. George Simbachawene jijini Dodoma May 01, 2023 Meimosi 2023 Kitaifa mkoani Morogoro May 01, 2023 Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei mosi 2023 mkoani Dodoma May 01, 2023 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O Kitenge (watano kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa mkoani Morogoro May 01, 2023 Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani mei mosi 2023 )mkoani Morogoro Apr 22, 2023 Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro Apr 09, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge na Menejimenti wanawatakia Wakristo wote Heri ya Pasaka Mar 24, 2023 Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge (wa kwanza kulia) akimpokea Naibu Waziri Utumishi wa Umma Mhe.Ridhiwani Kikwete (wa kwanza kushoto) katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Aliyesimama katikati ni Mkurugenzi wa Utawala Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira Bw.Innocent Bomani Mar 24, 2023 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete akiwa pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi kwa pamoja wakipokelewa katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mar 24, 2023 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Bi.Lynn Chawala akisalimiana na Naibu Waziri Utumishi Mhe. Ridhiwani Kikwete alipowasili katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Mar 24, 2023 Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Kitenge akiambatana na Wakuu wa Idara kumuaga Naibu Waziri wa Utumishi Mhe.Ridhiwani Kikwete (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Utumishi Bw,Juma Mkomi (wa tatu kulia ) baada ya kumaliza kikao kazi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Mar 24, 2023 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.Wa kwanza kulia(aliyekaa) ni Katibu Mkuu Utumishi Bw. Juma Mkomi na wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni aliyekuwa Katibu Sekretarieti ya ajira Bw.Hassan Kitenge Mar 23, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge na Watumishi wanawatakia Waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan Mar 23, 2023 Kaimu Katibu Msaidizi - Zanzibar Bw. Selemani Chihembe (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa vijana, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Wilaya na Mikoa wa Unguja Mar 23, 2023 Kikao kazi na Maafisa vijana, Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Mikoa na Wilaya za Unguja wakipata elimu juu ya majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kilichofanyika Unguja Mar 10, 2023 Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan Kitenge (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kuhitimisha kikao hicho. Kushoto ni mwakilishi wa TUGHE Taifa Bw.Rugemalira Rutatina na aliyekaa kulia ni Katibu Msaidizi wa Baraza la Wafanyakazi Bw.Imani Kasagala. Mar 10, 2023 Mkuu wa Kitengo cha Mipango na Tathmini Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Joachim Nyanda akiwasilisha Mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24 katika Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Mar 09, 2023 Wanawake wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambapo kimkoa yamefanyika katika Wilaya ya Kondoa Jijini Dodoma Mar 08, 2023 Wanawake Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipita mbele ya Mgeni rasmi Mhe.Rosemary Senyamule katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Wilayani Kondoa,2023 Mar 08, 2023 Wanawake Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye picha ya pamoja Siku ya Wanawake duniani 2023 Mar 04, 2023 Baadhi ya Wataalamu wanaosimamia Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Dodoma Mar 02, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge (katikati) akiwa na wakuu wa Idara, Vitengo na maafisa Bajeti mara baada ya kikao cha kujadili maoteo ya Bajeti ya Mwaka 2023/2024 jijini Dodoma Feb 15, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akimkaribisha Mh. Jenista Mhagama Waziri wa nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika viwanja vya Ofisi ya Nyaraka kwa ajili ya kikao kazi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Feb 15, 2023 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika kikao kazi na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Feb 15, 2023 Katibu Bw. Hassan Kitenge akiwa na Wakuu wa Idara na Vitengo wakimsikiliza Mh. Jenista Mhagama Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Feb 07, 2023 Wasailiwa wakiwa kwenye Usaili wa Kuandika jijini Arusha. Feb 07, 2023 Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Kada ya Uandishi wa Habari jijini Dodoma. Feb 07, 2023 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bibi Sophia Kaduma (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma. Feb 02, 2023 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bibi Sophia Kaduma (katikati) akiwa na wajumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan Kitenge (watatu kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu Bw. Innocent Bomani (wakwanza kushoto) mara baada ya Kikao cha Wajumbe jijni Dodoma. Jan 21, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O Kitenge (wapili kushoto) akiwa na Bw. Innocent Bomani - Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu, Bw. Christopher Nkupama - Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu na Fedha na Eng. Samwel Tanguye - Mkuu wa Idara ya TEHAMA wakikagua eneo la Ujenzi wa Ofisi jijini Dodoma Jan 21, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge akikabidhi eneo la ujenzi wa jengo la Ofisi la ghorofa nne lililopo Block "A" NCC jijini Dodoma kwa Mkandarasi CRJE (EAST AFRICA) Limited Jan 18, 2023 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge (watatu kulia) akiwa na baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo wakishuhudia utiaji saini wa ujenzi wa jengo la Ofisi unaotarajiwa kuanza mwezi Februari Jan 18, 2023 Aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge amesaini mkataba na kampuni ya CRJE (East Africa) Limited kwa ajili ya kujenga jengo la Ofisi la ghorofa nne. Jan 12, 2023 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Hassan O. Kitenge anawatakia Watanzania wote heri ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Jan 09, 2023 Wadau wakitoa maoni na mahitaji ya mfumo wa Kieletroniki wa kufanya usaili wa kuandika (Online Aptitude Test System) katika kikao kilichofanyika Dodoma Dec 28, 2022 Naibu Katibu Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akitoa mafunzo ya Mradi wa TEHAMA kwa Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira Mkoani Morogoro Dec 25, 2022 Merry Christmas & Happy New year 2023 Dec 23, 2022 Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Saada Mkuya akiwa katika kituo cha Usaili wa TRA uliofanyika katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar akiongea na kuwaasa wasailiwa wawe makini na wafanye usaili kwa makini kwani hakuna mtu yeyote atakaye pendelewa na kuwaambia kuwa juhudi zao ndizo zitakazo wasaidia kufika wanapo pataka. Nov 18, 2022 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge (katikati) akiwa na baadhi ya watumishi wa Sekretarieti ya Ajira Nov 09, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira wanasikitika kumpoteza mtumishi mwenzao Marehemu Dunia R. Kanena Oct 24, 2022 Wasailiwa wakiwa kwenye usaili Fundi Sanifu Umeme Sep 12, 2022 Wasailiwa wakiwa tayari kuanza usaili wa Kuandika Sep 12, 2022 Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Fundi Sanifu Magari Sep 12, 2022 Baadhi ya Wasailiwa wakiwa kwenye chumba cha Usaili Sep 11, 2022 Msailiwa akiwa katika usaili wa Vitendo Kada ya Fundi Sanifu Magari Sep 11, 2022 Usaili wa Alama za barabarani ukiwa unaendelea kwa kada ya Udereva. Sep 08, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma wanasikitika kumpoteza Mtumishi mwenzao Marehemu Ivo Kilima. Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi amen. Aug 17, 2022 Washiriki wa Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari (Risk Champions) kutoka Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mafunzo hayo katika ukumbi wa Kumbukumbu na Nyaraka jijini Dodoma. Aug 17, 2022 Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Ufuatiliaji na Tathmini Sekretarieti ya Ajira Bw.Hamisi Yunah (aliyesimama) akimkaribisha Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge ( wa katikati) ili aweze kufungua Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari jijini Dodoma. Aug 17, 2022 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Hassan O. Kitenge (wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira baada ya ufunguzi wa Mafunzo ya Usimamizi wa Viashiria vya hatari katika ukumbi wa Kumbukumbu na Nyaraka jijini Dodoma. Wa tatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Bw. Firimin M. Msiangi Aug 09, 2022 Mmoja wa waombaji fursa za ajira akisaini kitabu cha wageni katika banda la Sekretarieti ya ajira jijini Mbeya Aug 08, 2022 Afisa Tawala Mwandamizi Bw.Geofrey Kikosa akitoa elimu kwa wadau wa ajira walipotembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katka Viwanja vya Nanenane jijini Mbeya. Jun 20, 2022 Wasailiwa wakiwa katika usaili wa Vitendo Kada ya Upishi katika Chuo cha Ufundi VETA- Dodoma. Jun 07, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimpokea Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deogratius Ndejembi alipotembelea Taasisi hiyo. Jun 07, 2022 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (wa tatu kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi katika Taasisi hiyo. May 27, 2022 Msailiwa akikagua mtambo kabla ya kuanza usaili wa vitendo wa kuendesha mtambo huo Bandarini jijini Dar es Salaam. May 27, 2022 Mmoja wa wasailiwa akifanya usaili wa Vitendo Bandarini jijini Dar es Salaam uliosimamiwa na Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. May 18, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimsubiri Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuwasili katika ofisi hiyo jijini Dodoma May 18, 2022 Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa ofisi hiyo baada ya mapokezi May 18, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa ofisi hiyo baada ya kumpokea. May 18, 2022 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye akiwa pamoja Mkurugenzi wa Idara ya Utawala Bw.Innocent Bomani wakimkaribisha Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge mara baada ya kuwasili katika Ofisi hiyo. May 18, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimpokea Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Hassan Omani Kitenge alipowasili kwenye ofisi hiyo baada ya kuteuliwa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. May 05, 2022 Picha ya pamoja ya Washiriki wa Semina iliyolenga kuwajengea uelewa wajumbe wa Bodi za ajira katika Halmashauri zilizopo Mkoa wa Njombe, kuhusu mchakato wa ajira katika taasisi zilizokasimiwa mamlaka. Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Njombe Mji Mkoa wa Njombe. May 05, 2022 Hivi ndivyo ilivyokuwa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Siku ya Mei Mosi 2022 Kitaifa jijini Dodoma. May 05, 2022 Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2022 jijini Dodoma. Apr 07, 2022 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye akielezea mafanikio ya mwaka mmoja wa Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mar 10, 2022 Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani wilayani Chemba katika mkoa wa Dodoma. Feb 24, 2022 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Wa kwanza kulia Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Samwel Tanguye na wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Idara ya Ajira Bw.Lucas Mlumapili. Feb 19, 2022 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye akiwasilisha Taarifa yake kwenye kikao cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma. Feb 19, 2022 Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama katika ofisi za Asha Rose Migiro jijini Dodoma. Feb 19, 2022 Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ikiongozwa na Kaimu Katibu Bw.Samwel Tanguye wakimpokea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora alipotembelea Taasisi hiyo. Feb 19, 2022 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma mara baada ya kuitembelea ofisi hiyo. Feb 19, 2022 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Jenista Mhagama akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma.. Feb 15, 2022 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma akiwa pamoja na Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Samwel Tanguye katika kikao cha kupitisha matokeo ya usaili jijini Dodoma. Feb 15, 2022 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma akimpongeza Kamishna Saidi Kamugisha kwa kuchaguliwa na Wajumbe wa Bodi hiyo kuwa Makamu Mwenyekiti jijini Dodoma katika Ukumbi wa Mkutano wa ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Feb 15, 2022 Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipitia makabrasha yenye orodha ya idadi ya wasailiwa. Wa kwanza ni Kamishna Saidi Kamugisha, wa pili (katikati) Bi. Riziki Kuhanwa na wa mwisho kulia ni Bi.Bernadetta Ndunguru. Feb 15, 2022 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi.Sophia Kaduma (aliyekaa mbele kushoto) akiongoza kikao cha kawaida cha kwanza cha kupitia matokeo ya usaili. Aliyekaa mbele kulia ni Naibu Katibu Sekretarieti ya Ajira Bw.Samwel Tanguye Jan 13, 2022 Hongera Zanzibar kwa kuadhimisha miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu. Jan 13, 2022 Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier M. Daudi akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma baada ya kuwaaga.. Jan 12, 2022 "Kwaherini jamani nawatakieni kazi njema na uwajibikaji tuko pamoja katika kutumikia Taifa letu" alisema Bw. Xavier Daudi aliyekuwa Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma alipokuwa akiwaaga watumishi wake. Jan 12, 2022 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier M. Daudi akiondoka baada ya kuagana na wafanyakazi wa ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma. Jan 12, 2022 Aliyekuwa Katibu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.Xavier M. Daudi akipeana mkono na Naibu Katibu Idara ya Ajira Bw.Lucas Mlumapili katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kwa kumuaga na kumpongeza kwa uteuzi. Jan 11, 2022 Hongera Bw.Xavier M. Daudi kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Jan 11, 2022 Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wamuaga aliyekuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier M. Daudi baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Dec 20, 2021 Wakurugenzi wa Idara na Vitengo pamoja na Timu ya Wataalam kwenye picha ya pamoja katika hifadhi ya Manyara baada ya kuhitimisha kikao kazi Wilaya ya Karatu. Dec 20, 2021 Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara na Vitengo pamoja na Wataalam wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea hifadhi ya Manyara iliyopo katika Wilaya ya Karatu baada ya kumaliza kikao kazi kilichoongozwa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi wilayani hapo katika ukumbi wa Manyara Conference Centre. Nov 30, 2021 Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakipata mafunzo kwa vitendo namna ya kujikinga na ajali ya moto inapotokea. Mafunzo hayo yametolewa na Staff Surgent Joyce Kapinga pamoja na Koplo Kabuche Tengwa kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma. Nov 19, 2021 Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App. Nov 19, 2021 Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri Mhe. Deogratius Ndejembi (wa pili kutoka kulia aliyekaa), Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Laurean Ndumbaro ( wa pili kutoka kushoto aliyekaa) Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira Bi.Sophia Kaduma (wa kwanza kushoto aliyekaa) na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi ( wa kwanza kulia aliyekaa) pamoja na wawakilishi kutoka Mradi wa Maendeleo PS3+ mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App. Nov 19, 2021 Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (wa tatu kutoka kulia aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi ( wa kwanza kulia aliyekaa) pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira mara baada ya kuzindua Ajira Portal Mobile App. Nov 19, 2021 Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akizindua mfumo wa Nov 19, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi akitoa hotuba yake kwa Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Ajia Portal moblle App uliofanyika katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma . Nov 19, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Xavier Daudi akitoa hotuba yake kwa Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Ajia Portal moblle App uliofanyika katika ukumbi wa Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma . Nov 16, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma (katikati) pamoja na viongozi wakuu wa Utumishi wakimpokea Waziri wa Utumishi na Utawala bora mara tu alipowasili kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi kwa lengo la kuzindua bodi ya Sekretarieti ya ajira. Nov 16, 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira, Bi.Sophia E. Kaduma akitoa hotuba kwa mgeni rasmi mara baada ya uzinduzi wa bodi hiyo. Nov 16, 2021 Mgeni rasmi Waziri wa Utumishi ( wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi baada ya kuizindua bodi hiyo. Nov 16, 2021 Mgeni rasmi Waziri wa Utumishi (wa pili kulia ) akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma baada ya kuizindua bodi yao. Aug 31, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Ndg. Xavier Daudi (katikati) akiongoza matembezi ya Watumishi kutoka Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kuelekea katika viwanja vya UDOM kwa ajili ya mazoezi ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Serikali ambayo yanahimiza Watumishi kufanya mazoezi ili kulinda afya zao. Aug 31, 2021 Picha ya pamoja ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira kabla ya kuanza kwa mazoezi ya kutembea kuelekea viwanja vya michezo vilivyoko Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mazoezi. Aug 31, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira akiwa katika mazoezi ya mpira wa miguu ikiwa ni kuitikia wito wa Viongozi Wakuu wa Serikali wa kuhakikisha Watumishi wanafanya mazoezi kulinda afya zao. Aug 31, 2021 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakielekea katika viwanja vya michezo vilivyopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya mazoezi ya pamoja. Mazoezi haya ni endelevu na yatakuwa yakifanyika kila siku ya Ijumaa. Aug 31, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira akiongoza Watumishi kufanya mazoezi ya viungo katika viwanja vya michezo vilivoyopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Aug 31, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Ndg. Xavier Daudi akiwaongoza Watumishi katika mazoezi ya “pushup”. Sekretarieti ya Ajira imetenga siku ya ijumaa jioni kuwa siku rasmi ya mazoezi kwa Watumishi wake. Jun 27, 2021 Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akitoa salaam za pole kwa familia na waombolezaji katika misa ya kumuaga marehemu Riziki Abraham. Marehemu alizikwa tarehe 26 Juni, 2021 Marangu-Mkoani Kilimanjaro. Jun 27, 2021 Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Ndg. Xavier Daudi akiwa katika Misa ya kumuombea marehemu Riziki V. Abraham iliyofanyika katika Kanisa la Mt. Augustino, parokia ya Marangu makomu–Moshi. Kushoto kwake ni Naibu Katibu-TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye. Jun 27, 2021 Sehemu ya waombolezaji kutoka Sekretarieti ya Ajira wakiwa nyumbani kwa mume wa marehemu Riziki V. Abraham kijijini Marangu-Moshi. Jun 27, 2021 Baadhi ya waombolezaji kutoka Sekretarieti ya Ajira wakiwasili nyumbani kwa mfiwa Marangu-Moshi kushiriki maziko ya aliyekuwa Mtumishi mwenzao Bibi. Riziki V. Abraham aliyefariki tarehe 22 Juni, 2021 Jijini Dodoma. Jun 27, 2021 Katibu, Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma akiweka shada la maua katika kaburi la Marehemu Riziki V. Abraham. Kulia kwake ni Naibu Katibu-TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye. Jun 27, 2021 Sehemu ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Riziki Abraham. Jun 09, 2021 Katibu, Ofisi ya Rais- Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, Anatangaza Kifo cha Mtumishi wake aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini Bibi Riziki Veneranda Abraham kilichotokea tarehe 22 Juni, 2021 Katika Hospitali ya DCMC - Ntyuka, Jijini Dodoma Alipokuwa Amelazwa Kwa Matibabu. Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina lake lihimidiwe May 20, 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Sophia Kaduma akifurahia jambo na Watumishi wa Idara ya Ajira wakati wa ziara yake ya kwanza katika ofisi hii ambapo ameweza kutembelea ofisi mbalimbali na kusalimiana na Watumishi, nyuma yake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi May 20, 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Sophia Kaduma atembelea Ofisi za Sekretarieti ya Ajira kwa mara ya kwanza, hapo akitoka kujionea Masjala ya wazi inavyofanya kazi, kushoto kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na mwingine ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimawatu Bw. Innocent Bomani May 20, 2021 Wasimamizi wa usaili wakihakikisha mazingira na vitendea kazi wanavyotumia Wasailiwa wa nafasi ya “Pilot Tutor” viko sawasawa kabla ya kuanza usaili uliofanyika kwenye ukumbi wa TCAA katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) jijini Dar es Salaam. May 11, 2021 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiongea na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar na kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa kwenye kikao kichofanyika Ikulu Zanzibar. May 11, 2021 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiongea na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, TASAF na MKURABITA walipomtembelea Ikulu ya Zanzibar. May 11, 2021 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mawaziri wenye dhamana ya masuala ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, TASAF na MKURABITA walipomtembelea Ikulu ya Zanzibar. May 11, 2021 Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa akitoa maelekezo kwa Watendaji Wakuu wa Sekretarieti ya Ajira, TASAF na MKURABITA katika kikao kilichofanyika Zanzibar. May 11, 2021 Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mwl. Haroun Ali akiongelea masuala ya Ajira kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa na Naibu wake Mhe. Deogratius Ndejebi kwenye kikao kilichofanyika Zanzibar. May 11, 2021 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejebi akiwa na Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na TASAF kwenye ofisi ya Sekretarieti ya Ajira – Zanzibar. May 11, 2021 Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejebi akiongea na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga katika kikao kilichofanyika kwenye ofisi za Sekretarieti ya Ajira Zanzibar. May 11, 2021 Katibu Mkuu Bw. Seif Mwinyi akitoa ufafanuzi kwenye kikao cha Mawaziri wenye dhamana ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar kwenye kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira Zanzibar. May 11, 2021 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemedi Suleiman Abdullah akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa na baadhi ya Watendaji Wakuu na Maafisa Waandamizi wa Serikali ya SMT na SMZ May 11, 2021 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi akitoa ufafanuzi wa masuala ya Mchakato wa Ajira kwa Mawaziri wenye dhamana ya Utumishi wa Umma Tanzania Bara na Zanzibar hawapo pichani. May 06, 2021 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma aliyeteuliwa hivi karibuni Bi. Sophia Elias Kaduma, akizungumza na Watumishi wa Wizara ya Kilimo alipokuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kabla ya kustaafu. May 05, 2021 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohammed Omar Mchengerwa akizungumza na Watumishi wa ofisi yake hawapo pichani na kushoto kwake ni Naibu Waziri wa ofisi hiyo Mhe. Deogratius Ndejebi. May 05, 2021 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakisubiri kuingia uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma wakati wa Maandamano ya Siku ya Wafanyakazi nchini. May 05, 2021 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza maandamano jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi nchini. May 05, 2021 Naibu Katibu Idara ya Udhibiti wa Ubora Bw. Humphrey Mniachi akitoa ufafanuzi wa taratibu zitakazotumika katika usaili wa mchujo na kulia kwake ni Afisa Rasilimali watu Bw. Ally Mnyimwa. May 05, 2021 Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Bomba akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam. May 05, 2021 Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Uchomeleaji akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam. May 05, 2021 Mmoja wa Wasailiwa wa ufundi Umeme akiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam. May 05, 2021 Baadhi ya Wasailiwa wa ufundi Uashi wakiwa kwenye usaili wa vitendo katika Chuo cha VETA jijini Dar es Salaam. May 05, 2021 Wasailiwa wa Taasisi mbalimbali za Umma wakiwa kwenye usaili wa Mchujo DUCE May 05, 2021 Katibu wa TUGHE ofisi ya Sekretarieti ya Ajira Bw. Isa Paul akifafanua jambo kwa Watumishi wengine kulia ni Afisa Tawala Mkuu Bi Doroth Ndabi, na kushoto ni Afisa Tawala Mwandamizi Bi Rehema Ndehani. Apr 07, 2021 HAYATI ABEID AMANI KARUME - TUTAKUENZI DAIMA Mar 20, 2021 . Mar 19, 2021 BURIANI Mar 18, 2021 Hongera kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Mhe. Dkt. Philip. Isdor Mpango. Mar 08, 2021 Hongera kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa. Mar 05, 2021 Katibu Msaidizi, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Malimi Muya akitoa maelekezo kwa Wasailiwa wa kada mbalimbali kabla ya kuanza usaili wa mchujo uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM). Mar 05, 2021 Baadhi ya wadau wakiwa kwenye kikundi kazi wakipitia Mpango Mkakati wa Sekretarieti ya Ajira kurasa kwa kurasa kwa lengo la kuhuisha katika ofisi za Nyaraka, jijini Dodoma. Mar 05, 2021 Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Lucas Mrumapili aliyeketi katikati akiwa na wadau mbalimbali kutoka sekta ya Umma wakati wa kikao cha kuhuisha Mpango Mkakati wa Sekretarieti ya Ajira katika ofisi za Nyaraka, jijini Dodoma. Feb 19, 2021 Pumzika kwa Amani, Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Balozi John W. KIjazi Feb 19, 2021 Pumzika kwa Amani, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Feb 17, 2021 Naibu Katibu, Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samweli Tanguye akiwa na Wakaguzi kutoka Tume ya Utumishi wa Umma walioketi pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma walipotembelea ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Feb 17, 2021 Wakaguzi kutoka Tume ya Utumishi wa Umma wakiwa katika kikao cha ufunguzi na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira, walipokuja kutekeleza majukumu yao ya kikaguzi katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma, kushoto ni Bi. Saada Ibrahim, Bi. Chiku Mtemba na kiongozi wa msafara Bw. Japhary Maganga. Feb 17, 2021 Baadhi ya Wajumbe wa timu ya maboresho ya mfumo wa maombi ya kazi katika Sekretarieti ya Ajira wakiendelea na kazi, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani, mwingine ni Mchumi Bw. Charles Mbinga pamoja na Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta Mwandamizi Bi. Mtage Ugulumu. Feb 17, 2021 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. John Kiria akiwa na Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani wakimsikiliza Mwenyekiti (hayupo pichani) wakati wa kikao cha Menejimenti jijini Dodoma. Feb 17, 2021 Naibu Katibu, Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samwel Tanguye akifafanua jambo katika kikao cha Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jijini Dodoma. Feb 17, 2021 Afisa TEHAMA Mwandamizi katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Mussa Mselem akijiandaa kuwasilisha mada katika kikao cha Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Feb 17, 2021 Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Bw. Thabit Faina akiwa na Afisa Tawala aliyeko Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Zanzibar), Bw. Selemani Chihembe alipomtembelea ofisini kwake Vuga-Unguja. Jan 25, 2021 Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Lucas Mrumapili akichangia mada katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro. Jan 25, 2021 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango, Tathmini na Ufuatiliaji katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Godfrey Mchani akiwasilisha mada ya masuala ya bajeti katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro. Jan 25, 2021 Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi katika Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Morogoro. Jan 25, 2021 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi lililofanyika SUA mkoani Morogoro. Jan 25, 2021 Katibu Muhutasi Mwandamizi, Bi. Janeth Saki akichapa majadiliano mbalimbali ya Wajumbe wakati wa kikao cha Baraza kilichofanyika SUA mkoani Mororogoro. Jan 25, 2021 mmoja wa wasimamizi wa usaili ambae ni Naibu Katibu Idara ya Udhibiti wa Ubora, Bw. Humphrey Mniachi akiangalia wasailiwa kama wanafuata taratibu za usaili wakati wasailiwa hao wakiendelea na usaili wa kuandika mkoani Dodoma. Jan 25, 2021 Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi kwa ajili ya MORUWASA wakiendelea na usaili SUA mkoani Morogoro. Jan 25, 2021 Baadhi ya Wasimamizi na Walimu wakipokea maelekezo kutoka kwa mratibu wa zoezi hilo Bw. Ally Mnyimwa jijini Dodoma. Jan 25, 2021 Baadhi ya Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika jijini Dodoma. Dec 21, 2020 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akiwasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine Mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira kushoto kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi Dec 19, 2020 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akisalimiana na Katibu wa TUGHE wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Issa Paul alipowasili katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine kwa ajili ya kufungua kikao cha Baraza la Sekretarieti ya Ajira. Dec 19, 2020 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine mkoani Morogoro. Dec 19, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwa katika kikao cha Wakaguzi wa Nje pamoja na Wajumbe wa Menejimenti wa Taasisi yake. Dec 19, 2020 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali mara baada ya kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine mkoani Morogoro. Dec 19, 2020 Wakaguzi wa Nje wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, wakiongozwa na Mkaguzi Mkuu Bw. Emmanuel Shirima kulia ni Bw. Erasto Kawili na Bw. Semboko kwenye kikao na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira hawapo pichani. Dec 19, 2020 Mhasibu Mkuu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Sulemani Mwanga akiwa na Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Ndani Bw. John Kiria wakisikiliza hoja kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Nje Bw. Emmanuel Shirima. Dec 19, 2020 Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakifuatilia kikao cha Wakaguzi wa Nje hawapo pichani. Dec 19, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Xavier Daudi akiongea na Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Prof. Raphael Chibunda alipomtembelea ofisini kwake kabla ya kuanza kwa kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Sekretarieti ya Ajira lililofanyika chuoni hapo. Dec 19, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi katika kikao chao cha kwanza tangu wahamie Dodoma. Dec 19, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Ajira, Bw. Lucas Mrumapili akiwa na Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora, Bw. Humphrey Mniachi wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajirakatika Utumishi wa Umma hayupo picha Bw. Xavier Daudi ikiwa ni kikao cha kwanza tangu ofisi za Sekretarieti ya Ajira zihamie Dodoma. Dec 19, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi katikati akitoka kukagua ofisi za Watumishi wa Idara ya Ajira na kulia ni Naibu Katibu, Idara ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Bw. Innocent Bomani. Dec 06, 2020 Katibu, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanakupongeza kwa kuteuliwa kwa mara nyingine kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Huruma Mkuchika (Mb). Dec 06, 2020 Katibu, Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius John Ndejebi (Mb). Nov 26, 2020 Wajumbe wa jopo la usaili ambao miongoni mwao kuna Makatibu Wakuu Wastaafu na Viongozi wengine Waandamizi Serikalini wakimsikiliza mmoja wa wasailiwa ngazi ya Menejimenti TASAF akiwa nchini Botswana hayupo pichani akifanya usaili kwa njia ya mtandao (Video Conference). Nov 26, 2020 Katikati ni Katibu Mkuu Utumishi-Dkt. Laurean Ndumbaro akijadiliana jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi na kushoto kwake ni Katibu Mkuu, IKULU- Dkt. Moses Kusiluka wakati wa usaili wa nafasi ya menejimenti TASAF, mmoja wa wasailiwa akiwa nchini Botswana. Usaili umefanyika TAGLA kwa njia ya mtandao (Video Conference). Nov 26, 2020 Katibu Mkuu Utumishi-Dkt. Laurean Ndumbaro akiongoza jopo la usaili wa nafasi ya Menejimenti TASAF, kushoto kwake ni Katibu Mkuu Ikulu- Dkt. Moses Kusiluka, kulia kwake ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi, Mtendaji Mkuu wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga pamoja na Katibu Mkuu Mstaafu Dkt. Silvanus Likwelile wakimsikiliza mmoja wa wasailiwa akiwa nchini Botswana wakati wa usaili kwa njia ya mtandao (Video Conference). Nov 26, 2020 Moja ya gari la jeshi likifungwa mlango tayari kuondoka mara baada ya kushusha mizigo kwenye ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma. Nov 26, 2020 Moja ya gari la jeshi likiwa limewasili katika jengo la Utumishi zilipo pia ofisi za Sekretarieti ya Ajira jijini Dodoma tayari kushusha mizigo ya ofisi hiyo. Nov 26, 2020 Mizigo ya Sekretarieti ya Ajira ikiendelea kushushwa kwenye gari la jeshi jijini Dodoma ilipohamia taasis hiyo. Nov 26, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Xavier Daudi akiwa na watumishi wengine wakiangalia moja ya gari likiondoka na mizigo katika ofisi hizo eneo la Kivukoni jijini Dar es Salaam na gari lingine likiwa tayari kuanza safari kuelekea jijini Dodoma walipohamia. Nov 26, 2020 Wasailiwa wakifanya na Usaili wa Mchujo wa nafasi za kazi za Taasisi mbalimbali za Umma, jijini Mwanza . Nov 26, 2020 Mmoja wa madereva wa gari la Jeshi la Wananchi lililopakia mizigo ya Sekretarieti ya Ajira, Staff Surgent Aisha Kigodi akielekea kwenye gari eneo la Kivukoni jijini Dar es Salaam tayari kuanza safari kuelekea jijini Dodoma zilipohamia ofisi za taasis hiyo. Nov 26, 2020 Haya ni baadhi ya magari ambayo yamekuwa yakitumika kwenye Usaili wa Vitendo kwa ajili ya madereva wenye leseni kuanzia daraja C1 au daraja E. Nov 11, 2020 Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuchaguliwa kwao kwa kishindo kuiongoza Tanzania kwa awamu nyingine ya miaka mitano. Nov 11, 2020 Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa kuchaguliwa kwake kwa kishindo. Oct 09, 2020 Menejimenti na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wanampongeza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa kwa kuaminiwa na kuteuliwa kwake kwa mara nyingine kuwatumikia Watanzania, Oct 09, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akinukuu baadhi ya hoja wakati wa kikao cha Wafanyakazi wakizungumza na Mkuu wa taasisi na wengine ni Maafisa wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia hoja mbalimbali. Oct 09, 2020 Baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu wa taasisi hiyo, Bw. Xavier Daudi hayupo pichani wakati wa kikao cha pamoja na Wafanyakazi hao. Oct 09, 2020 Mhe. Balozi Anisa Mbega aliyesimama mbele katikati akiwa na baadhi wa Maafisa Waandamizi kutoka Sekretarieti ya Ajira na wadau wengine wa sekta ya Ajira serikalini wakati wa kikao cha pamoja cha wadau kujadili mahitaji ya kipaumbele ya Serikali kutoka kwa Watanzania wataalam wenye ujuzi maalum waliopo nje ya nchi (Diaspora) kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 6, 2020. Oct 09, 2020 Mhe. Balozi Anisa Mbega aliyeketi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa na baadhi wa Maafisa Waandamizi kutoka Sekretarieti ya Ajira na wadau wengine wa sekta ya Ajira serikalini wakati wa kikao cha pamoja cha wadau kujadili mahitaji ya kipaumbele ya Serikali kutoka kwa Watanzania wataalam wenye ujuzi maalum waliopo nje ya nchi (Diaspora) kilichofanyika jijini Dodoma Oktoba 6, 2020. Sep 28, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akizungumza na Wajumbe wa Majopo ya Usaili katika Chuo cha CBE jijini Mwanza kabla ya kuanza usaili wa wa kujaza nafasi za kazi za Mkataba TANESCO. Sep 28, 2020 Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba. Sep 28, 2020 Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba. Sep 28, 2020 Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi mbalimbali za kazi za TANESCO wakiendelea na Usaili wa Mchujo jijini Mwanza katika Chuo cha Ualimu Butimba. Sep 03, 2020 Mtaalam wa masuala ya Saikolojia, Zainab Rashid kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii akifundisha washiriki wa mafunzo kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma namna ya kuweza kumpima mtu na kuweza kufahamu tabia, uwezo na hulka ya mhusika. Sep 03, 2020 Wataalam wa Saikolojia kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii kulia ni Gilbert Mkisi, Zainab Rashid na Julius Mbilinyi wakinukuu maswali ya kutoka kwa Washiriki ili kuweza kuyapatia majibu. Sep 03, 2020 Washiriki wa Mafunzo ya Saikolojia kutoka Sekretarieti ya Ajira pamoja na Wawezeshaji masuala ya Saikolojia kutoka katika Vyuo mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja. Sep 03, 2020 Mtaalam wa masula ya Saikolojia Justine Kavindi kutoka Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere akifafanua jambo kwa Washiriki wa mafunzo kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Sep 03, 2020 Wataalam wa Saikolojia kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Dkt. Pambas Basil, na Dkt. Florentina Nsolenzi na mwingine ni Afisa Utumishi Mkuu katika Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi. Consolatha Bura. Sep 03, 2020 Dkt. Bertha Losioki, kulia kwake ni Miraji Mgonja na mwingine ni Justine Kavindi ambao ni wataalam wa masuala ya Saikolojia katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere walipokuwa wakitoa mafunzo kwa Washiriki wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Aug 27, 2020 Kulia ni SP Deus Sokoni akizungumza wakati kikao kazi baina ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu pamoja na wadau kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na kushoto kwake ni ASP Ibrahim Samwix akinukuu baadhi ya mambo waliyokubaliana. Aug 27, 2020 Kushoto ni SP Deus Sokoni akiwa Maafisa wengine kutoka Jeshi la Polisi nchini wakinukuu baadhi ya mambo waliyokubaliana wakati kikao kazi baina ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na wadau kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA). Aug 27, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora katika Sekretarieti ya Ajira, Bw. Humphrey Mniachi akiongea na baadhi ya wadau kutoka Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na Chuo cha Mafunzo Ufundi Stadi (VETA) hawapo pichani kulia kwake ni Afisa Rasilimaliwatu Bw. Ally Mnyimwa. Aug 27, 2020 Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Bi. Clara Kibodya akinukuu baadhi ya mambo waliyojadiliana katika kikao kazi baina ya Watendaji kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Jeshi la Polisi nchini- Usalama Barabarani Makao Makuu na VETA. Aug 27, 2020 Mkufunzi Mkuu wa masuala ya ufundi na Udereva kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Bw. Kisembe Kapele akifafanua jambo wakati wa kikao kazi kilichohusisha wataalamu kutoka Jeshi la Polisi nchini-Usalama Barabarani Makao Makuu, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma pamoja na Wataalam wengine kutoka VETA. Aug 19, 2020 Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo katika Sekretarieti ya Ajira wakibadilishana mawazo baada ya kikao, kulia ni Bw. Humphrey Mniachi, Bw. Lucas Mrumapili, Mhandisi Samwel Tanguye na Bi. Toni Mbilinyi. Aug 19, 2020 Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi Bi Nester Mbilinyi akitoa mafunzo ya mfumo wa TANePS kwa Wajumbe wa Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Aug 19, 2020 Baadhi ya Maafisa Waandamizi katika Sekretarieti ya Ajira, kushoto ni Bw. Humphrey Mniachi, Mhandisi Samwel Tanguye na Bw. Innocent Bomani wakimsikiliza Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mipango hayuko pichani Bw. Godfrey Mchani. Aug 14, 2020 Baadhi ya Wahitimu wa Ufundi Seremala wakiwa katika usaili wa vitendo VETA jijini Dar es Salaam. Aug 14, 2020 Mmoja wa vijana wa ufundi VETA akifungua ili kukirekebisha kifaa cha gari wakati wa usaili wa vitendo. Aug 07, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akitoa maelekezo ya jumla kwa Wasailiwa wakati wa usaili wa mchujo uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Aug 07, 2020 Naibu Katibu, Idara ya Udhibiti wa Ubora katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Humphrey Mniachi akipitia namba za Wasailiwa kabla ya kuzituma katika akaunti zao kwenye mfumo wa maombi ya kazi. Jul 06, 2020 Mmoja wa Wasimamizi wa Usaili akiangalia Wasailiwa wakiendelea na Usaili (DUCE) kwa ajili ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT). Jul 06, 2020 Mabegi ya Wasailiwa yakiwa mbele wenyewe wakiendelea na Usaili (DUCE) kwa ajili ya nafasi za kazi za Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT). Jul 06, 2020 Baadhi ya Wasailiwa wa nafasi za kazi kwa ajili ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) wakiendelea na Usaili (DUCE). Jun 01, 2020 Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar. Jun 01, 2020 Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiingia katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira eneo la Mazizini-Zanzibar, nyuma yake ni Katibu wa Ofisi hiyo Bw. Xavier Daudi na Mkurugenzi wa Mipango na Rasilimaliwatu (OR-UUUB) Bw Khamis Juma. Jun 01, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, wakiwa nje ya ofisi hiyo eneo la Mazizini-Zanzibar. Jun 01, 2020 Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Rasilimaliwatu (OR-UUUB- Zanzibar Bw. Khamis Juma akitoa ufafanuzi kwa Makatibu Wakuu wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini- Zanzibar. Jun 01, 2020 Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiongea wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira Mazizini- Zanzibar, kushoto ni Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout na Naibu Katibu (OR-UUUB). Jun 01, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwasilisha taarifa yake wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini- Zanzibar Jun 01, 2020 Katibu Mkuu, (OR-MUUB), Dkt. Laurian Ndumbaro akiwa Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout pamoja na Viongozi na Watendaji wengine wakati wa makabidhiano ya ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar Jun 01, 2020 Katibu Mkuu, (OR-UUUB), Bw. Yakout Hassan Yakout akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira, Mazizini-Zanzibar May 22, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi akitoa maelekezo kwa Wasimamizi wa Usaili (hawapo pichani) kuhusu masuala ya kuzingatia wakati wa usimamizi wa usaili mwingine ni Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka. May 22, 2020 Naibu Katibu Idara ya Udhibiti na Ubora katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Humphrey Mniachi akitoa ufafanuzi kwa Wasimamizi wa Usaili (hawapo pichani) kuhusu usimamizi wa usaili mwingine ni Katibu Msaidizi Idara ya Ajira Bi. Khadija Isihaka. May 22, 2020 Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika kwa ajili ya kujaza nafasi mbalimbali za kazi zilizotangazwa na Kibaha Education Centre kupitia Sekretarieti ya Ajira. May 22, 2020 Baadhi ya Wasailiwa wakiendelea na usaili wa kuandika kwa ajili ya kujaza nafasi mbalimbali za kazi zilizotangazwa na Kibaha Education Centre kupitia Sekretarieti ya Ajira. May 22, 2020 Maafisa Tawala wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kushoto ni Bw. Issa Paul na Bw. Mwita Werema wakiandaa rasimu ya tangazo la nafasi wazi za kazi. May 22, 2020 Afisa Utumishi Mwandamizi katika Sekretarieti ya Ajira Bi. Judith Usangira akipata ufafanuzi wa masuala ya Watumishi kutoka kwa Afisa Utumishi Bw. Imani Kasagara. May 22, 2020 Afisa Rasilimaliwatu Mkuu Bw. Innocent Bomani wa Sekretarieti ya Ajira akipitia nyaraka aliyopelekewa na Dereva Mwandamizi Bw. Christopher Ngazi aliyesimama kabla ya kuipitisha. May 22, 2020 Watumishi wa Idara ya Utawala katika Sekretarieti ya Ajira wakipitia moja orodha ya vifaa vinavyohitajika kununuliwa kulia ni Bi. Neema Kivugo, Bw. Malatika Mbaga na Mlagwa Nyasebwa. May 05, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiongoza jopo la usaili wa nafasi ya kazi ngazi ya Menejimenti kwa ajili ya UCSAF ambao umefanyika TAGLA jijini Dar es Salaam kwa njia ya "Video Conference". May 05, 2020 Mmoja wa Wasailiwa wa nafasi ya kazi ngazi ya Menejimenti kwa ajili ya UCSAF akifanya usaili kwa njia ya "Video Conference" ambao umefanyika katika ofisi za TAGLA jijini Dar es Salaam. May 05, 2020 Wajumbe wa jopo la usaili wa UCSAF wakimsikiliza mmoja wa Wasailiwa wa nafasi ya kazi ya Menejimenti hayupo pichani, ambapo usaili huo umefanyika katika ofisi za TAGLA kwa njia ya ''video conference'' Apr 16, 2020 Mwenyekiti wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bi Rose Lugembe akisisitiza jambo kwa Wajumbe katika moja ya vikao vya bodi hiyo. Apr 16, 2020 Katibu wa wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiongea katika moja ya vikao vya Menejimenti na kushoto kwake ni Afisa Utumishi Mkuu katika ofisi hiyo Bw. Innocent Bomani akinukuu dondoo za kikao. Apr 16, 2020 Katibu Msaidizi (Idara ya Ajira), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Malimi Muya akiongea na Waandishi wa Habari, hawapo pichani kuhusu uendeshaji wa mchakato wa ajira serikalini. Mar 10, 2020 Tuwaenzi mama zetu, dada zetu, hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani. Mar 10, 2020 Tuwaenzi mama zetu, dada zetu, hawa ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani. Mar 10, 2020 Tuwaenzi Mama zetu na Dada zetu, pichani ni baadhi ya Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika Viwanja vya Leaders katika Siku ya Maadhimisho ya Wanawake Duniani. Mar 05, 2020 Katibu Msaidizi, Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Malimi Muya akitoa ufafanuzi kwa Waandishi wa Habari hawapo pichani waliotaka kufahamu maboresho yaliyofanyika katika uendeshaji wa mchakato wa ajira. Mar 05, 2020 Naibu Katibu Idara ya Ajira katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili akiwasilisha taarifa ya usaili uliopita mbele ya Wajumbe hawako pichani, kushoto ni Katibu Msaidizi Bi Khadija Isihaka na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Victoria Fovo. Feb 21, 2020 Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi katika Sekretarieti ya Ajira Bw. Robert Makenge akiwasilisha mada ya namna bora ya kuagiza mahitaji ya ofisi kwa mujibu wa taratibu za Ununuzi wa Umma kwa Watumishi wa ofisi hiyo. Jan 09, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akielekeza jambo kwa Maafisa Waandamizi wa taasisi hiyo waliosisimama ambao ni Bw. Godfrey Mchani na Bw. Dunia Kanena. Jan 09, 2020 Baadhi ya Maafisa Waandamizi katika Sekretarieti ya Ajira wakipitia taarifa ya Tathmini na Ufuatiliaji kabla ya kuiwasilisha kwenye kikao cha Menejimenti, kulia ni Bw. Dunia Kanena, Mussa Mselem na Godfrey Mchani. Jan 09, 2020 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi akiwa na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu, Bi Victoria Fovo wakipitia moja ya nyaraka kabla ya kuanza kwa kikao cha Menejimenti. Jan 02, 2020 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi Rose Lugembe akiteta jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi wakati wa kikao kazi. Jan 02, 2020 Baadhi ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti hio wakati wa kupitia matokeo ya usaili, kulia ni Bi Victoria Fovo, Bw. Lucas Mrumapili, Bi. Khadija Isihaka na Bw. Malatika Mbaga Jan 02, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mada ya namna bora ya matumizi ya vifaa vya TEHAMA wakati wa semina ya mafunzo kazini iliyokuwa ikitolewa na Afisa Tehama wa Taasisi hiyo Bw. Hemed Mkomwa hayupo pichani. Jan 02, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi katika semina iliyoandaliwa na ofisi hiyo kwa lengo la kujengeana uwezo ambapo mada mbalimbali ziliwasilishwa. Jan 02, 2020 Katibu wa Mfuko wa kusaidiana (MKUSA) wa wanachama wa Sekretarieti ya Ajira, Mhandisi Samweli Tanguye akisoma ripoti ya mwaka kwa Wanachama wa mfuko huo (hawapo pichani) kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mfuko Bi. Riziki Abraham. Jan 02, 2020 Katibu wa Mfuko wa kusaidiana (MKUSA) wa wanachama wa Sekretarieti ya Ajira, Mhandisi Samweli Tanguye akisoma ripoti ya mwaka kwa Wanachama wa mfuko huo (hawapo pichani) kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mfuko Bi. Riziki Abraham. Jan 02, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakimsikiliza Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi katika semina iliyoandaliwa na ofisi hiyo kwa lengo la kujengeana uwezo ambapo mada mbalimbali ziliwasilishwa. Jan 02, 2020 Baadhi ya Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wakifuatilia mada ya namna bora ya matumizi ya vifaa vya TEHAMA wakati wa semina ya mafunzo kazini iliyokuwa ikitolewa na Afisa Tehama wa Taasisi hiyo Bw. Hemed Mkomwa hayupo pichani. Jan 02, 2020 Baadhi ya Watendaji wa Sekretarieti ya Ajira wakiwa katika kikao cha Wajumbe wa Sekretarieti hio wakati wa kupitia matokeo ya usaili, kulia ni Bi Victoria Fovo, Bw. Lucas Mrumapili, Bi. Khadija Isihaka na Bw. Malatika Mbaga Jan 02, 2020 Mwenyekiti wa Sekretarieti ya Ajira Bi Rose Lugembe akiteta jambo na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi wakati wa kikao kazi. Nov 18, 2019 Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Idara ya TEHAMA, Mhandisi Samweli Tanguye akitoa mafunzo ya Mfumo wa Ajira kwa baadhi ya Waajiri wa Sekta ya Umma. Nov 18, 2019 Mwenyekiti wa Chama cha Shule Binafsi za Udereva Tanzania (CHASHUBATA) Bw. Jonas Bigaye akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na watendaji wa Sekretarieti ya Ajira kilichofanyika katika katika ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira kilicholenga kujadili namna ya kuboresha mafunzo yanayotolewa na vyuo hivyo. Nov 18, 2019 Katibu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi (aliyesimama) akifafanua jambo kwa ugeni kutoka Tume ya Utumishi wa Umma nchini Zimbabwe walipotembelea Ofisi za Sekretarieti ya Ajira. Nov 18, 2019 Mhandisi Samweli Tanguye ambaye ni Naibu Katibu (TEHAMA) ,akitoa mada ya mabadiliko ya Mfumo wa uombaji kazi kwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma chini Zimbabwe walipofanya ziara ya mafunzo nchini. Nov 18, 2019 Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma katika moja ya kikao wakipitia majina ya waombaji Ajira Serikalini. Nov 06, 2019 Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Idara ya Udhibiti na Ubora Bw. Humphrey Mniachi akisisitiza jambo wakati wa kikao cha pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali katika Chama cha Shule Binafsi za Udereva Tanzania (CHASHUBUTA), kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira. Kushoto ni Bw. Ally Mnyimwa. Aug 11, 2019 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dkt. Anold Kihaule (kulia na kushoto kwake) ni Naibu Katibu Idara ya TEHAMA katika Sekretarieti ya Ajira Mhandisi Samwel Tanguye.
869b9508004933aa0646580bdb24f1848ade71641b81f281415c69b4177cc18b
11,439
5.235598
474
59,890
1
0
0
0
6.42
1,108
https://www.ajira.go.tz/#/2
Home ABOUT US Secretary’s Desk Organization Structure Who are we? Divisions Administration & Human Resources Management Information and Communication Technology Recruitment Management Quality Control UNITS Procurement Management Government Communication Internal Audit Finance & Accounts Legal Services Planning, Monitoring & Evaluation CONTACT FEEDBACK GALLERY Video Photo PUBLIC INFO Legislation General Information Hoja Za Wadau ARCHIVE Recruitment Portal STAFF MAIL LOSS REPORT Advertisements TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU ARDHI 15-10-2024 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALAMBO 04-10-2024 Call for Interview TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU MZUMBE JINA LA NYONGEZA 16-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU MKWAWA (MUCE) MAJINA YA NYONGEZA 15-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI (MUHAS) 12-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU MZUMBE 06-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM 06-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA ELIMU MKWAWA (MUCE) 03-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA MAJINA YA NYONGEZA 03-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM 02-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA 30-09-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI WA TARIME 26-09-2024 View More ... Placements TANGAZO LA KUITWA KAZINI HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA) 10-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA) 04-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 25-09-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 25-09-2024 PSRS Journal JARIDA TOLEO LA 2-AUGUST 2024 18-09-2024 Jarida - Januari 2024 15-02-2024 Katibu wa Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anatoa pole kwa familia, watumishi, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mtumishi Ibrahim Amiri aliyefariki kwa ajali ya gari. Katibu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Lutechura Kiliba akipokea ripoti ya makabidhiano ya ofisi kutoka kwa Naibu Katibu Mhandisi.Samwel Tanguye. Karibu Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Naibu Katibu Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu alipotembelea Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma eneo la Asha Rose Migiro (UDOM) Jijini Dodoma ili kujitambulisha na kuona namna taasisi hii inavyofanya kazi. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akisalimiana na Kaimu Katibu Msaidizi Idara ya Ajira alipotembelea ofisi hizo jijini Dodoma Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akizungumza na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira alipotembelea ofisi hiyo jijini Dodoma Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi.Lynn Chawala akitoa maelezo mafupi kwa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alipotembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika viwanja vya maonesho Maisara - Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa kwa wadau katika Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Abdi Faki (Wa nne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliambatana na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye katika kujionea namna huduma zinavyotolewa kwa wadau wanaotembelea banda la ofisi hiyo. Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye mafunzo Mkoani Morogoro. Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akifungua Kikao cha Mafunzo kwa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mkoani Morogoro kwa niaba ya Kaimu Katibu wa Ofisi hiyo Bw.Innocent Bomani Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Bw.Xavier Daudi akisaini kitabu cha Wageni katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Dondoo muhimu kuhusu mfumo wa usaili kidigitali Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Kada ya Marine Engineer II wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) jijini Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akitoa hotuba yake mbele ya Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika ukumbi wa Mzinga mjini Morogoro Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Innocent Bomani wakiwa kwenye chumba cha kufanyia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali katika kituo cha VETA Manyara Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na wadau kwenye kikao kazi kuhusu mfumo wa usaili kidigitali jijini Dodoma Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akizungumza kwenye kikao kazi cha kutambulisha mfumo mpya wa usaili kidigitali Jengo la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma lililopo Dodoma linalotarajiwa kukamilika na kuanza kutumika ndani ya Mwaka huu 2024 na watumishi wa Ofisi hiyo Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Fundi Sanifu Mifumo ya Maji II Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Autoelectrical Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa Vitendo kada ya Mpishi Msailiwa akiwa katika usaili wa vitendo uliohusisha kuchomelea vyuma Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa Kada ya Mechanical Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa kuendesha mitambo Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo uliohusisha kuunganisha vitanda vya hospitali Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo wa kupaka rangi vifaa Wadau wakitoa maoni na mahitaji ya mfumo wa Kieletroniki wa kufanya Usaili wa kuandika (Online Aptitude Teste System) katika Ukumbi wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dar es Salaam × Loss Report Information Examination Level -- Examination level -- CSEE ACSEE Index No. (S1234-5678) Year of Completion --Year-- 2024 2023 2022 2021 2020 2019 2018 2017 2016 2015 2014 2013 2012 2011 2010 2009 2008 2007 2006 2005 2004 2003 2002 2001 2000 1999 1998 1997 1996 1995 1994 1993 1992 1991 1990 1989 1988 1987 1986 1985 1984 1983 1982 1981 1980 1979 1978 1977 1976 Search × Loss Report Information Full Name Center Name Year of Graduation Exam Type Division/Point Close × ADVERTISEMENTS ARCHIVE Type -- Choose type -- Advertisements Call for Interview Placements Published On -- Published Date -- Specific Month Date Range Search
79f2c2090c9168aeee1f20ca6f886505d416cd19aae1c7e3612bd0630a2ecb7b
1,254
5.438596
25
6,820
1
0
0
0.079745
6.86
79
https://www.ajira.go.tz/#/2
Home ABOUT US Secretary’s Desk Organization Structure Who are we? Divisions Administration & Human Resources Management Information and Communication Technology Recruitment Management Quality Control UNITS Procurement Management Government Communication Internal Audit Finance & Accounts Legal Services Planning, Monitoring & Evaluation CONTACT FEEDBACK GALLERY Video Photo PUBLIC INFO Legislation General Information Hoja Za Wadau ARCHIVE Recruitment Portal STAFF MAIL LOSS REPORT Advertisements TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI DIT, VETA NA NECTA 18-10-2024 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU ARDHI 15-10-2024 Call for Interview TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA JINA LA NYONGEZA 20-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA 17-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA 30-09-2024 Placements TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 20-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 19-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI WIZARA YA AFYA 19-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 18-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 16-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 16-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA) 10-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA (TANAPA) 04-10-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 25-09-2024 TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 25-09-2024 View More ... PSRS Journal JARIDA TOLEO LA 2-AUGUST 2024 18-09-2024 Jarida - Januari 2024 15-02-2024 Katibu wa Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anatoa pole kwa familia, watumishi, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mtumishi Ibrahim Amiri aliyefariki kwa ajali ya gari. Katibu Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Lutechura Kiliba akipokea ripoti ya makabidhiano ya ofisi kutoka kwa Naibu Katibu Mhandisi.Samwel Tanguye. Karibu Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Naibu Katibu Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akimpokea Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu alipotembelea Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma eneo la Asha Rose Migiro (UDOM) Jijini Dodoma ili kujitambulisha na kuona namna taasisi hii inavyofanya kazi. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akisalimiana na Kaimu Katibu Msaidizi Idara ya Ajira alipotembelea ofisi hizo jijini Dodoma Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Clement Sangu akizungumza na Menejimenti ya Sekretarieti ya Ajira alipotembelea ofisi hiyo jijini Dodoma Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi.Lynn Chawala akitoa maelezo mafupi kwa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alipotembelea banda la Sekretarieti ya Ajira katika viwanja vya maonesho Maisara - Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa kwa wadau katika Maonesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mjumbe wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Abdi Faki (Wa nne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Mjumbe huyo aliambatana na Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye katika kujionea namna huduma zinavyotolewa kwa wadau wanaotembelea banda la ofisi hiyo. Wajumbe wa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakiwa kwenye mafunzo Mkoani Morogoro. Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akifungua Kikao cha Mafunzo kwa Kamati ya Ukaguzi ya Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mkoani Morogoro kwa niaba ya Kaimu Katibu wa Ofisi hiyo Bw.Innocent Bomani Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Bw.Xavier Daudi akisaini kitabu cha Wageni katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma jijini Dodoma Dondoo muhimu kuhusu mfumo wa usaili kidigitali Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo Kada ya Marine Engineer II wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) jijini Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira mjini Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.George Simbachawene akitoa hotuba yake mbele ya Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika ukumbi wa Mzinga mjini Morogoro Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene pamoja na Kaimu Katibu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Innocent Bomani wakiwa kwenye chumba cha kufanyia usaili wa kuandika kwa njia ya Kidigitali katika kituo cha VETA Manyara Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akizungumza na wadau kwenye kikao kazi kuhusu mfumo wa usaili kidigitali jijini Dodoma Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mkuu wa Idara ya TEHAMA Mhandisi Samwel Tanguye akizungumza kwenye kikao kazi cha kutambulisha mfumo mpya wa usaili kidigitali Jengo la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma lililopo Dodoma linalotarajiwa kukamilika na kuanza kutumika ndani ya Mwaka huu 2024 na watumishi wa Ofisi hiyo Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Fundi Sanifu Mifumo ya Maji II Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa vitendo kada ya Autoelectrical Wasailiwa wakiwa kwenye usaili wa Vitendo kada ya Mpishi Msailiwa akiwa katika usaili wa vitendo uliohusisha kuchomelea vyuma Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa Kada ya Mechanical Msailiwa akiwa kwenye usaili wa vitendo wa kuendesha mitambo Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo uliohusisha kuunganisha vitanda vya hospitali Msailiwa akiwa kwenye usaili wa Vitendo wa kupaka rangi vifaa Wadau wakitoa maoni na mahitaji ya mfumo wa Kieletroniki wa kufanya Usaili wa kuandika (Online Aptitude Teste System) katika Ukumbi wa Chuo cha Taifa cha Utalii Dar es Salaam × Loss Report Information Examination Level -- Examination level -- CSEE ACSEE Index No. (S1234-5678) Year of Completion --Year-- 2024 2023 2022 2021 2020 2019 2018 2017 2016 2015 2014 2013 2012 2011 2010 2009 2008 2007 2006 2005 2004 2003 2002 2001 2000 1999 1998 1997 1996 1995 1994 1993 1992 1991 1990 1989 1988 1987 1986 1985 1984 1983 1982 1981 1980 1979 1978 1977 1976 Search × Loss Report Information Full Name Center Name Year of Graduation Exam Type Division/Point Close × ADVERTISEMENTS ARCHIVE Type -- Choose type -- Advertisements Call for Interview Placements Published On -- Published Date -- Specific Month Date Range Search
cf45cf5841f393d57b7a4fbd1d2f05f5a06f453baa40c4289336009a423bae12
1,215
5.432922
24
6,601
1
0
0
0.082305
7
79
https://www.uchukuzi.go.tz/
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na viongozi mbalimbali wa Serikali wakikata utepe kuashiria Mapokezi ya Ndege mpya ya Serikali aina ya B787 Dreamliner mara baada ya ndege hiyo kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar mwezi agosti 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za treni ya Reli ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma 1 Agosti 2024. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile akizungumza na wananchi wa mkoa wa Tabora (hawapo pichani) katika uwanja wa Chipukizi wakati wa ziara ya Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango mkoani humo. Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mkoa wa Tabora na Chama cha Mapinduzi akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la upanuzi na ukarabati wa Kiwanja cha Ndege cha Tabora Oktoba 9, 2024 mkoani Tabora. Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akimsikiliza Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Juma Kijavara kuhusu hatua iliyofikiwa ya mradi wa ujenzi wa Matanki ya Mafuta yanayojengwa Kigamboni jijini Dar es Salaam, 12 Septemba 2024. Mkurugenzi wwa Sera na Mipango Maseke Mabiki akisisitiza jambo katika Kikao cha wajumbe wa Menejimenti wa Wizara cha kutoa maoni ya Maboresho ya Sera ya Uchukuzi, kilichofanyika Dodoma. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, Naibu Waziri David Kihenzile na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari wakipitia makabrasha wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) uliowasilishwa na kupitishwa Bungeni 28 Agosti 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakishuhudia uwekaji saini wa hati ya makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing, tarehe 4 Septemba, 2024. Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani Tanzania, mara baada ya kufunga Wiki ya Baraza la Usalama lililofanyika jijini Dodoma. Naibu Katibu Mkuu Ludovick Nduhiye akisisitiza jambo kwa Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini Tanzania (LATRA) hawapo pichani wakati alipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni.
5fd23ea6add2939fa1400e162855f19b4a9a9a3bc97b6250457e3c4d3a71a123
389
5.372751
17
2,090
1
0
0
0
2.83
32
https://www.ikulu.go.tz/president
#### Wasifu ##### MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN *Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania* **MAISHA YAKE ** Mhe. Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja. Ameolewa na Bw. Hafidh Ameir na wamejaaliwa watoto wanne, watatu wa kiume na mmoja wa kike. **ELIMU NA MAFUNZO** Mhe. Samia Suluhu Hassan alipata elimu ya msingi katika shule mbalimbali, zikiwemo Shule ya Msingi Chwaka iliyoko Unguja kuanzia 1966 hadi 1968, Shule ya Msingi Ziwani mwaka 1970 na Shule ya Msingi Mahonda mwaka 1972. Baada ya hapo, alijiunga na Shule ya Sekondari ya Ng’ambo kwa ajili ya masomo ya Kidato cha Kwanza hadi cha tatu, na Shule ya Sekondari Lumumba kwa ajili ya Kidato cha Nne kati ya mwaka 1973 hadi 1976. Mwaka 1983, alipata Astashada katika Mafunzo ya Takwimu kutoka Chuo cha Uchumi, Zanzibar. Baada ya kufanya kazi kwa kipindi kifupi kwenye Wizara ya Mipango na Maendeleo, mwaka 1983 hadi 1986, alijiunga na Chuo cha Maendeleo ya Uongozi Mzumbe (IDM) kwa ajili ya masomo ya juu katika Utawala wa Umma. Aidha, alipata mafunzo mbalimbali katika Taasisi ya Chuo cha Utawala wa Umma Lahore, Pakistan 1987, Taasisi ya Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI) 1991, na Taasisi ya Uongozi ya Hyderabad India 1998 kwa ajili ya Astashahada ya Utawala. Baada ya hapo, alijiunga na Chuo Kikuu cha Manchester kilichopo Uingereza kwa ajili ya masomo ya Juu ya Uchumi. Vilevile, alipata Shahada ya Uzamili ya Maendeleo ya Jamii kupitia programu ya pamoja kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Chuo Kikuu cha Southern New Hampshire, Marekani. **UZOEFU NDANI YA SERIKALI ** Mhe. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliapishwa Machi 19, 2021 kufuatia kifo cha ghafla cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Ndugu Samia ni mwanamke wa kwanza nchini kushika nafasi za Makamu wa Rais na hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nyadhifa nyingine alizoshika ndani ya Serikali ni; Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia mambo ya Muungano 2010/2015; Waziri wa Utalii, Biashara na Uwekezaji katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar 2005/2010 na Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira, Maendeleo ya Wanawake, na Watoto, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 2000/2005. Mwaka 2014, alihudumu kama Makamu Mwenyekiti wa Bunge lililojadili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuandaa rasimu ya Katiba mpya ya Tanzania. Mwaka 1987 hadi 1988, alikuwa Afisa Mipango Rasilimali Watu na Mwaka 1977 hadi 1983, Karani Masijala. **UZOEFU NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI** Mhe. Samia Suluhu Hassan aliingia katika siasa kama mwanachama wa CCM tarehe 10 Juni, 1987. Aliingia katika siasa za uchaguzi mwaka 2000 katika nafasi ya Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar kama Mwakilishi wa Viti Maalum vya Wanawake hadi mwaka 2010. Kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, aligombea na kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwakilisha jimbo la Makunduchi, Zanzibar. Mwaka 2002, alichaguliwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi, na vile vile, kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi; nyadhifa ambazo ameendelea kuzifanyia kazi hadi leo. Ndugu Samia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja; na alikuwa Mjumbe wa Kamati za Siasa Mkoa na Wilaya ya Kusini Unguja. Kwa upande wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi, Ndugu Samia ni mwanachama wa Jumuiya ya Wanawake wa Tanzania (UWT) kuanzia mwaka 1996 hadi leo. Aidha, ameshiriki katika kuandika Ilani ya Chama cha Mapinduzi mara nne mfululizo kuanzia 2005/2010, 2010/2015, 2015/2020 na 2020/2025. **UZOEFU KATIKA TAASISI NYINGINE** Mwaka 2016, Mhe. Samia aliteuliwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Ban Ki Moon, kuwa Mjumbe wa Jopo la Umoja wa Mataifa kuhusu Uwezeshaji wa Wanawake Kiuchumi, akiwakilisha Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika kati ya mwaka 2016 na 2017. Katika kipindi cha ujumbe wake, aliwasilisha mambo 27 kwenye Jopo hilo, ambayo Serikali ya Tanzania ilibainisha kama hatua za kimkakati kwa ajili ya kuweka mfumo endelevu wa kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi. Miongoni mwa matokeo ya kazi zake ni kusimamia uanzishwaji wa majukwaa ya uchumi ya wanawake nchini kwa lengo la kuwaunganisha wanawake wafanyabiashara wadogo na wakati kwenye masoko, hasa wanawake wanaoishi mipakani, kuwaunganisha na mikopo nafuu na kuhimiza mafunzo ya ujasiriamali; na kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuanzisha kampeni ya kuongeza uwajibikaji katika kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto, maarufu kama “Jiongeze Tuwavushe Salama”. Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (World Food Programme) mwaka 1988 hadi 1997. Vile vile, amefanya kazi katika Kamati, Bodi na Taasisi mbalimbali kama vile; Mjumbe wa Kamati ya Msamaha wa Wafungwa (Parole Committee) ya Zanzibar (2001- 2010), Mlezi wa Jumuiya ya Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Zanzibar (1997-2000), Mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote – EOTF (1996-2000), Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Taasisi zisizo za Kiserikali Zanzibar (ANGOZA) 1995-2000, Mwanachama wa Lions Club Zanzibar (1991-1998), Mjumbe wa Kamati ya Uundaji wa Sera ya Elimu Zanzibar (1996) na Mwanachama Mwanzilishi wa Taasisi ya Kuchochea Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (1991-1994).
26beaf237b5a31540c481998c1d730978260ebdb77d812ab379d37ad2e3a3b34
868
5.321429
38
4,619
1
0
0
0.230415
6.22
101
https://www.ikulu.go.tz/cabinet
**MAISHA YAKE ** Mhe. Samia Suluhu Hassan alizaliwa Januari 27, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja. Ameolewa na Bw. Hafidh Ameir na wamejaaliwa watoto wanne, watatu wa kiume na mmoja wa kike. **ELIMU NA MAFUNZO** Mhe. Samia Suluhu Hassan alipata elimu ya msingi katika shule mbalimbali, zikiwemo Shule ya Msingi Chwaka iliyoko Unguja kuanzia 1966 hadi 1968, Shule ya Msingi Ziwani mwaka 1970 na Shule ya Msingi Mahonda mwaka 1972. Baada ya hapo, alijiunga na Shule ya Sekondari ya Ng’ambo kwa ajili ya masomo ya Kidato cha Kwanza hadi cha tatu, na Shule ya Sekondari Lumumba kwa ajili ya Kidato cha Nne kati ya mwaka 1973 hadi 1976. Mwaka 1983, alipata Astashada katika Mafunzo ya Takwimu kutoka Chuo cha Uchumi, Zanzibar. Baada ya kufanya kazi kwa kipindi kifupi kwenye Wizara ya Mipango na Maendeleo, mwaka 1983 hadi 1986, alijiunga na Chuo cha Maendeleo ya Uongozi Mzumbe (IDM) kwa ajili ya masomo ya juu katika Utawala wa Umma. Aidha, alipata mafunzo mbalimbali katika Taasisi ya Chuo cha Utawala wa Umma Lahore, Pakistan 1987, Taasisi ya Eastern and Southern African Management Institute (ESAMI) 1991, na Taasisi ya Uongozi ya Hyderabad India 1998 kwa ajili ya Astashahada ya Utawala. Baada ya hapo, alijiunga na Chuo Kikuu cha Manchester kilichopo Uingereza kwa ajili ya masomo ya Juu ya Uchumi. Vilevile, alipata Shahada ya Uzamili ya Maendeleo ya Jamii kupitia programu ya pamoja kati ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Chuo Kikuu cha Southern New Hampshire, Marekani. **UZOEFU NDANI YA SERIKALI ** Mhe. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliapishwa Machi 19, 2021 kufuatia kifo cha ghafla cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Ndugu Samia ni mwanamke wa kwanza nchini kushika nafasi za Makamu wa Rais na hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nyadhifa nyingine alizoshika ndani ya Serikali ni; Waziri katika Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia mambo ya Muungano 2010/2015; Waziri wa Utalii, Biashara na Uwekezaji katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar 2005/2010 na Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira, Maendeleo ya Wanawake, na Watoto, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 2000/2005. Mwaka 2014, alihudumu kama Makamu Mwenyekiti wa Bunge lililojadili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuandaa rasimu ya Katiba mpya ya Tanzania. Mwaka 1987 hadi 1988, alikuwa Afisa Mipango Rasilimali Watu na Mwaka 1977 hadi 1983, Karani Masijala. **UZOEFU NDANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI** Mhe. Samia Suluhu Hassan aliingia katika siasa kama mwanachama wa CCM tarehe 10 Juni, 1987. Aliingia katika siasa za uchaguzi mwaka 2000 katika nafasi ya Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar kama Mwakilishi wa Viti Maalum vya Wanawake hadi mwaka 2010. Kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, aligombea na kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwakilisha jimbo la Makunduchi, Zanzibar. Mwaka 2002, alichaguliwa kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi, na vile vile, kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi; nyadhifa ambazo ameendelea kuzifanyia kazi hadi leo. Ndugu Samia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja; na alikuwa Mjumbe wa Kamati za Siasa Mkoa na Wilaya ya Kusini Unguja. Kwa upande wa Jumuiya za Chama cha Mapinduzi, Ndugu Samia ni mwanachama wa Jumuiya ya Wanawake wa Tanzania (UWT) kuanzia mwaka 1996 hadi leo. Aidha, ameshiriki katika kuandika Ilani ya Chama cha Mapinduzi mara nne mfululizo kuanzia 2005/2010, 2010/2015, 2015/2020 na 2020/2025. **UZOEFU KATIKA TAASISI NYINGINE** Mwaka 2016, Mhe. Samia aliteuliwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Ban Ki Moon, kuwa Mjumbe wa Jopo la Umoja wa Mataifa kuhusu Uwezeshaji wa Wanawake Kiuchumi, akiwakilisha Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika kati ya mwaka 2016 na 2017. Katika kipindi cha ujumbe wake, aliwasilisha mambo 27 kwenye Jopo hilo, ambayo Serikali ya Tanzania ilibainisha kama hatua za kimkakati kwa ajili ya kuweka mfumo endelevu wa kufikia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi. Miongoni mwa matokeo ya kazi zake ni kusimamia uanzishwaji wa majukwaa ya uchumi ya wanawake nchini kwa lengo la kuwaunganisha wanawake wafanyabiashara wadogo na wakati kwenye masoko, hasa wanawake wanaoishi mipakani, kuwaunganisha na mikopo nafuu na kuhimiza mafunzo ya ujasiriamali; na kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuanzisha kampeni ya kuongeza uwajibikaji katika kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto, maarufu kama “Jiongeze Tuwavushe Salama”. Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (World Food Programme) mwaka 1988 hadi 1997. Vile vile, amefanya kazi katika Kamati, Bodi na Taasisi mbalimbali kama vile; Mjumbe wa Kamati ya Msamaha wa Wafungwa (Parole Committee) ya Zanzibar (2001- 2010), Mlezi wa Jumuiya ya Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Zanzibar (1997-2000), Mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote – EOTF (1996-2000), Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Taasisi zisizo za Kiserikali Zanzibar (ANGOZA) 1995-2000, Mwanachama wa Lions Club Zanzibar (1991-1998), Mjumbe wa Kamati ya Uundaji wa Sera ya Elimu Zanzibar (1996) na Mwanachama Mwanzilishi wa Taasisi ya Kuchochea Maendeleo ya Wanawake Zanzibar (1991-1994).
38e091a66bd8023fe8a3b393085cd0a1db7cd545713a5fb4a15e34767b347953
853
5.327081
36
4,544
1
0
0
0
6.1
101
https://www.ikulu.go.tz/pages/chief-secretary-roles
#### Uongozi Utawala wa Jamhuri ya Muungano una Rais, Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri wa Mkuu na Baraza la Mawaziri. Rais wa Jamhuri la Muungano ndiye Mkuu wa nchi, Mkuu wa Serikali, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Rais ndiye kiongozi wa Utawala wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makamu wa Rais ndiye msaidizi mkuu wa Rais kwa mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa ujumla na hasa ana wajibu wa kumsaidia Rais katika; i. Kufuatilia utelekezaji wa kila siku wa mambo ya Muungano ii. Kufanya kazi zote atakazopewa na Rais iii. Kufanya kazi zote na majukumu ya ofisi ya Rais, wakati Rais asipokuwepo au anapokuwa nje ya nchi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ndiye Kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni na ana mamlaka ya kudhibitisha, kusimamia na kutelekeza kazi za kila siku na mambo ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aidha anatekeleza jambo lolote ambalo Rais atamwelekeza kuwa lifanywe. Rais wa Zanzibar ndiye Kiongozi wa Utawala wa Zanzibar, Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar Baraza la Mawaziri ni pamoja na Waziri Mkuu, anayeteuliwa na Rais kutokana na Wabunge wa Bunge la Taifa. Serikali inatekeleza kazi zake kupitia kwa Wizara zinazoongozwa na Mawaziri. Kila wizara ina dhmana ya kazi na sekta yake.
051e34c174e0a70e73139f3a46af46f6196134490eb25dd31105841170ea1a85
219
4.981735
11
1,091
1
0
0
0.456621
0.46
23
https://www.ikulu.go.tz/documents/publications
English Kiswahili Wasiliana Nasi Maswali yanayoulizwa Sana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tovuti Rasmi ya Rais Mwanzo Ikulu Kuhusu Rais wa Tanzania Marais Wazamani Uongozi Baraza la Mawaziri Naibu Mawaziri Mihimili ya Serikali Serikali Mahakama Bunge Kituo cha Habari Habari Hotuba Taarifa kwa Vyombo vya Habari Maktaba ya Video Maktaba ya Picha Blogu Wasiliana Nasi Maswali yanayoulizwa Sana Taarifa kwa Vyombo vya Habari 13th Oct 2024 Rais Samia Afunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini Rais Samia Afunga Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini 11th Oct 2024 Uandikishaji Daftari la Wapiga Kura la Serikali za Mitaa Uandikishaji Daftari la Wapiga Kura la Serikali za Mitaa 04th Oct 2024 Uzinduzi wa Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi Uzinduzi wa Tume ya Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi 30th Sep 2024 Uzinduzi wa Kitabu cha Sokoine Uzinduzi wa Kitabu cha Sokoine 28th Sep 2024 Mkutano wa Hadhara Songea Mkutano wa Hadhara Songea 26th Sep 2024 Mkutano wa Hadhara Tunduru Mkutano wa Hadhara Tunduru 26th Sep 2024 Uteuzi Uteuzi 23rd Sep 2024 Tamasha la Utamaduni Songea Tamasha la Utamaduni Songea 17th Sep 2024 Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Miaka 60 ya Jeshi la Polisi 16th Sep 2024 Uteuzi Uteuzi 08th Sep 2024 Uteuzi TCAA na TAA Uteuzi TCAA na TAA 05th Sep 2024 Rais Dkt. Samia Ahutubia FOCAC Rais Dkt. Samia Ahutubia FOCAC 04th Sep 2024 Rais Dkt. Samia Akutana na Kuzungumza na Rais wa China Xi Jinping Rais Dkt. Samia Akutana na Kuzungumza na Rais wa China Xi Jinping 02nd Sep 2024 Uteuzi na Uhamisho wa Vituo vya Kazi Uteuzi na Uhamisho wa Vituo vya Kazi 01st Sep 2024 Utenguzi Utenguzi 01st Sep 2024 Maadhimisho ya Miaka 60 ya JWTZ Maadhimisho ya Miaka 60 ya JWTZ 31st Aug 2024 Rais Dkt. Samia Ashiriki Mashindano ya Quran Rais Dkt. Samia Ashiriki Mashindano ya Quran 31st Aug 2024 Rais Dkt. Samia Ashiriki Mashindano ya Quran Rais Dkt. Samia Ashiriki Mashindano ya Quran 28th Aug 2024 Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali 27th Aug 2024 Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari 27th Aug 2024 Rais Dkt. Samia Kuhudhuria Hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mhe. Raila Amolo Odinga Rais Dkt. Samia Kuhudhuria Hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mhe. Raila Amolo Odinga 20th Aug 2024 Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari 20th Aug 2024 Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari 18th Aug 2024 Communiqué of the 44th Ordinary Summit of SADC Heads of States and Government 17th August 2024 Communiqué of the 44th Ordinary Summit of SADC Heads of States and Government 17th August 2024 15th Aug 2024 Rais Dkt. Samia Kuhudhuria Mkutano wa SADC Rais Dkt. Samia Kuhudhuria Mkutano wa SADC 14th Aug 2024 Uteuzi Viongozi Mbalimbali Uteuzi Viongozi Mbalimbali 10th Aug 2024 Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari 10th Aug 2024 Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Maafisa Ugani na Wanaushirika Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Maafisa Ugani na Wanaushirika 08th Aug 2024 Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari 06th Aug 2024 Uteuzi Wenyeviti wa Bodi Uteuzi Wenyeviti wa Bodi ‹ 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 ... 20 21 ›
9b4bc3df67b648d3fcccfd2c0d4a3aea58e10eb08f30d1e1216b4113180a821c
586
4.796928
15
2,811
1
0
0
0.170648
8.7
41
https://www.ikulu.go.tz/news/ziara-ya-mhe-rais-samia-suluhu-hassan-mikoa-ya-lindi-na-mtwara
#### Habari ## ZIARA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MIKOA YA LINDI NA MTWARA **ZIARA YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI MTWARA** Rais Samia alizindua Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini iliyojengwa eneo la Mitengo Mikindani itatoa huduma mbali mbali za kibingwa imejengwa kwa gharama ya shs bilioni 15.8 itahudumia kanda ya kusini na nchi za Jirani zinazopakana. Hospitali hiyo ina vifaa vya kisasa, ikiwemo mashine za MRI na CT – SCANA. Huduma za kuchuja damu, yaani ** Dialysis,** zitaanzishwa hivi karibuni. Rais Samia amekabidhi magari matatu ya kubebea wagonjwa (ambulance) ambayo ni mini ICU. Rais Samia pia alizindua Chujio la maji lililopo Mangamba. Mradi umegharimu shs bilioni 3.4 na utanufaisha wananchi 141,000 na ina uwezo wa kutibu maji kiasi cha cubic mita 12.5. Rais Samia amekagua ukarabati na upanuzi wa kiwanja cha ndege kilichogharimu shilingi **bilioni 281.55.** Kiwanja hiki kimekamilika kwa **asilimia 98**, kina uwezo wa kuhudumia ndege kubwa za ndani na nje ya nchi zenye ukubwa wa **Boeing 787-8 (Dreamliner**). Rais Samia pia amezindua barabara ya Mnivata - Mtwara (km 50) katika eneo la Naliendele. Kipande hiki cha barabara ni sehemu ya barabra ya Mtwara – Newala – Masasi yenye kilomita 210 ambayo imejengwa kimkakati ili kuyaunganisha maeneo yanayozalisha korosho kwa wingi katika wilaya za Tandahimba na Newala. Barabara hii itarahisisha usafirishaji wa korosho kutoka kwa wakulima hadi kwenye masoko ya ndani na nje kupitia Bandari na Kiwanja cha Ndege cha Mtwara. Katika siku hiyo ya kwanza ya ziara, Rais Samia amekagua shughuli za uimarishwaji wa bandari ambapo eneo la mita za mraba 75,000 limeshatengwa kwa ajili ya kupitisha korosho na nafaka zingine.uimarishwaji wa Bandari ya Mtwara itasaidia kupunguza msongamano katika bandari ya Dar es Salaam lakini itachangia kukua kwa biashara katika ukanda wa kusini. Akihutubia katika mkutano wa hadhara, Rais Samia alikemea tabia ya wafanya biashara kusafirisha korosho kwa njia ya barabara na kuzichakachua ili wapate faida kubwa hivyo aliwataka wafanyabiashara watakaosafirisha kwa njia ya malori kupata kibali maalum kutoka kwa Mkuu wa Mkoa. Siku ya pili ya tarehe 16 Septemba, 2023 Rais Samia aliendelea na ziara yake katika mkoa wa Mtwara ambapo akielekea Tandahimba, Rais Samia alisimama njiani na kuzungumza na wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe, Nanyamba ambapo aliwataka wananchi kuweka jitihada katika kilimo cha ufuta na mbaazi kwa kuwa serikali imeshatafuta soko la zao la mbaazi kwa kuweka mikataba nan chi wanunuzi. Alieleza kuwa serikali imeamua kujenga shule kubwa ya wasichana katika kila mkoa. Rais Samia aliwataka wazazi wa mkoa wa Mtwara kuwaacha wasichana kupata fursa ya kusoma badala ya kuendekeza mil ana desturi za mkoa huo zinazolazimu kukatisha masomo ya m oto wa kike na kuolewa. Rais Samia pia aliwataka wananchi kuacha tabia ya kucheza ngoma mara wanapopata fedha za mavuno ya mazao yao ya korosho. Aliwataka wakulima kuweka fedha zao akiba katika benki ili kujijengea uwezo siku za usoni waweze kujitegemea kununua pembejeo za kilimo pindi serikali itakapositisha kutoa ruzuku kwa wakulima. Rais Samia alihutubia katika uwanja wa Majaliwa uliopo Wilaya ya Tandahimba na kuwataka Madiwani , Wakuu wa wilaya pamoja na kamati za Siasa wa Halmashauri ya Tandahimba kusimamia vizuri fedha za maendeleo zinazotolewa na Serikali. Ziara ya Rais Samia iliendelea kwa kufanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Sabasaba Newala ambapo Rais Samia alipokea taarifa za: - Ujenzi wa Hospitali za Halmashauri ya Wilaya ya Newala- Mchemo ambao hadi sasa umeshapokea bilioni 2.85 Alielezwa kuwa Jengo la EMD limeshakamilika kwa asilimia 100. Mradi kamili wa Hospitali unatarajia kukamilika mwezi Desemba mwaka huu. - Ujenzi wa Mradi wa Maji Makonde Alielezwa kuwa Mradi huu utahusisha kujenga visima, machujio na matenki makubwa eneo la Mitema hivyo kuwezesha kutoa maji lita milioni 26 badala ya milioni 10 ya hivi sasa. - - Matenki yatajengwa eneo la Nambunga lenye uwezo wa lita milioni 6 pamoja na common booster station ili iweze kusukuma maji kufika Nambunga. - Eneo la Nanda litajengwa tank la lita milioni 3 - Eneo la Mtavala lita milioni 3 - Eneo la Nyundo tenki la lita milioni 1 Mradi huu wa maji wa Makonde utahudumia kata 93. Utekelezaji wa mradi umeshaanza na umefikia asilimia 15 na utakapokamilika utaweza kuhudumia wanachi wote wa wilaya ya Newala kwa makadirio ya wakazi 839,000 - Jengo la Utawala Halmashauri ya Wilaya ya Newala Kwamba, linajengwa katika kata ya Muungano, Kijiji cha Mmovo ambapo mradi huu ilianza rasmi ujenzi. Gharama za mradi huu ni shilingi bilioni 3.64 na mradi umeshafikia asilimia 96.3 Baadae Rasi Samia alielekea Wilayani Masasi ambapo aliweka jiwe la Msingi kwenye jengo la Utawala Halmashauri ya Wilaya ya Masasi lililogharimu shilingi bilioni 2.66. Rais Samia ameitaka halmashauri hiyo kubuni mbinu za kukusanya mapato ili iweze kujiendesha. Aliwataka pia wananchi kuandaa mashamba yao ya mikorosho kwa namna inayostahiki ili waweze kupata mavuno mazuri. Rais Samia pia aliwataka wananchi kuongeza jitihada katika kilimo cha mbaazi na ufuta Rais Samia alidhuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya 3 Hayati Benjamin Willium Mkapa lililopo katika Kijiji cha Lupaso na kisha kuzungumza na wananchi wa kijijini hapo. Siku ya 3 Rais Samia aliendelea na ziara yake mkoani Mtwara kwa kukagua na kuweka jiwe la msingi kwenye ghala la kuhifadhia mazao lililopo Mangaka Wilaya ya Nanyumbu ikiwa ni moja kati ya maghala 14 yaliyojengwa nchi nzima (12 bara na 2 Zanzibar). Mradi huu umejengwa chini ya udhamini wa Serikali kupitia Wizara ya Kilimo pamoja na African Development Bank (AfDB) una thamani ya shilingi bilioni 78.9. ghala hili lina uwezo wa kuhifadhi tani 1000 za mazao. Mradi wa kujenga maghala nchini unahusisha: - Ujenzi wa miundo mbinu - Utoaji elimu juu ya udhibiti wa sumu kuvu - Kuimarisha taasisi za udhibiti na utafiti Maghala hayo yana sehemu tatu ambayo ni ghala la kuhifadhia, maabara ya kupima sumu kuvu na sehemu ya kukaushia ikiwa mkulima amepeleka mazao ambayo hayajakauka. Akizungumza na wananchi wa Nanyumbu katika eneo la round about ya Mangaka aliwasisitiza waaandae mashamba kwa ajili ya kilimo cha mbaazi na ufuta ili waweze kuinua hali ya uchumi Akihitimisha ziara yake Mkoani Mtwara, Rais Samia alifanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa masasi Mji Rais Samia kwa sasa mkandarasi yuko kazini kuiunganisha Wilaya ya Masasi kwenye gridi ya Taifa kutokea mkoani Ruvuma ambao utakamilika baada ya miezi 18. Pia yupo Mkandarasi ambae anatoa umeme Ruangwa kupitia Nangugwa ambapo Mradi huo utakamilika ifikapo Disemba mwaka huu. Ilielezwa kuwa Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale yenye kilomita 175 ambayo tayari imeshasainiwa Mkataba, inasubiri malipo ya awai ianze kujengwa. Aidha, Serikali imetenga bilioni 1.3 kwa ajili ya kuweka taa za barabarani katika maeneo ya Nangaka, Masasi na Nanyumbu ambazo ujenzi utaanza mara moja. Rais Samia alisema Serikali itajenga kongani ya viwanda katika eneo la Maranje Wilayani Nanyumbu ili kiwe kituo cha kubangua korosho zote za Mtwara. Amesema lengo la kujenga viwanda hivyo ni kuongeza thamani ya korosho na kuongeza mnyororo wa thamani kwa kuuza maganda ya korosho ambayo yatatumika kutengenezea mafuta. Rais Samia alitoa wito kwa wakulima wa Mtwara kuacha kuandaa mashamba kwa njia ya kuchoma moto kwani kufanya hivyo kunaharibu mazingira na mikorosho yenyewe na hivyo kuisababishia isitoe matunda ya kutosha. Kuhusu Migogoro ya wakulima na wafugaji, Rais Samia aliziagiza kamati za ulinzi na usalama za mikoa nchini kuishughulikia na kuipa kipaumbele migogoro hiyo. Rais Samia aliwaeleza wananchi kuwa Serikali italishughulikia katika ngazi ya taifa kwa kuandaa mkakati ambao utatatua changamoto hiyo. Rais Samia alisisitiza juu ya mila na desturi za wananchi wa Mtwara pindi wanapopata fedha waache kuwacheza wasichana katika umri mdogo na kuwaozesha na hivyo kuwasababishia ujauzito katika umri mdogo. Ameitaka halmashauri ya Wilaya ya Masasi kutumia asilimia 40 ya mapato na kuielekeza katika shughuli za maendeleo ikiwemo kujenga jengo la kuhifadhia X-Ray ili ianze kuhudumia wananchi badala ya kusubiri fedha kutoka Serikali Kuu. Rais Samia aliwataka viongozi wa halmashauri hiyo kuacha kuwanyonya wakulima kwa kuwakata fedha za mauzo na kuzipeleka katika mifuko ya maendeleo ambayo haijulikani, haipo kisheria na haifanyiwi ukaguzi. Rais Samia alihitimisha Ziara yake Mkoani Mtwara na kuaza mkoani Lindi na kuanzaia katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale ambayo imezungukwa na hifadhi ya Selous na Nyerere. Rais Samia alieleza kuwa Wilaya ya Liwale ndio inayoongoza kutoa ikolojia ya kupambana na mabadiliko ya tabia nchi hivyo kwa mchango huo serikali imeamua kuitazama kwa jicho la pekee. Aliongeza kuwa Liwale pia inazalisha misitu ya asili ikiwemo mninga ambapo asilimia kubwa ya mapato yake yanatokana na mazao ya mninga. Licha ya kuwa wananchi wa Liwale wanaruhusiwa kuvuna miti kisheria, Rais Samia aliwaisisitiza wananchi hao kupanda miti kwa wingi ili kuendelea kunufaika na rasilimali hiyo na kurithisha vizazi vijavyo. Hali kadhalika, Rais Samia amesema program ya Jenga Kesho iliyo Bora (BBT) itapelekwa Liwale katika ufugaji wa nyuki kwa ajili ya asali ili vijana waweze kufaidika na program hiyo kwa kujiajiri. Aliwataka wananchi kulima kwa kiasi kikubwa mazao ya alizeti, korosho, mbaazi na ufuta kwa kuwa serikali inafanya mpango wa kuwatafutia soko. Program ya BBT itawashirikisha vijana pia katika kilimo cha mazao hayo. Rais Samia pia amewataka wawekezaji Wilayani Liwale kutvumilia hali ya changamoto ya umeme kwa kuwa serikali inakwenda kuitatua changamoto hiyo kwani nayo ipo katika mpango wa kuunganishwa na gridi ya Taifa kutokea mkoani Ruvuma. Akiwa Liwale, Rais Samia ameeleza kuwa Serikali itashughulikia changamoto ya ndovu katika ngazi ya kitaifa kwa haraka ili kuwawezesha wananchi kuendelea na shughuli zao za kiuchumi za kila siku. Amesema Serikali imetoa fedha ili barabara iweze kujengwa na kupitika hasa barabara muhimu ya Nangurukuru kwenda Liwale yenye jumla ya KM 230 ambapo fedha ya kujenga km 72 za awali zimeshatolewa. Rais Samia amesema kila mwaka wa bajeti Serikali itatoa fedha ili kuifanya barabara hiyo ikamilike. Rais Samia amesikitishwa na tabia ya wazazi ya kutokupeleka watoto shule licha ya jitihada ya serikali ya kutoa elimu bila malipo hivyo kuwataka kuacha tabia hiyo na kuwaacha Watoto waendelee na masomo hasa ya sekondari pindi wanapofaulu darasa la saba badala ya kuwaoza watoto wa kike. Akiendelea na ziara yake katika wilaya ya Nachingwea, Rais Samia aliwataka wananchi wazidishe juhudi katika kilimo cha mazao ya korosho, ufuta na mbaazi Tarehe 18 Septemba, Rais Samia aliendelea na ziara yake katika Wilaya ya Ruangwa ambapo alizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Kilimahewa ambapo wananchi walieelezwa kuwa Wilaya hiyo haina changamoto kubwa zinazowakabili. Alisema Mradi mkubwa wa LNG ambao utawanufaisha wananchi wa mkoa wa Lindi uko katika majadiliano kati ya serikali na muwekezaji. Serikali itajenga kiwanda cha kubangua korosho cha ukubwa wa kati mkoani Lindi kwa lengo la kuwawezesha wananchi kuzalisha mafuta kwa kutumia maganda ya korosho ili waweze kupata faida zaidi na kuifanya Lindi ifunguke kiuchumi. Rais Samia alisema serikali itaendeleza utafiti zaidi katika sekta ya madini ili kujua kiasi cha dhahabu kilichopo na kuwapanga wachimbaji wadogo wadogo ili wachimbe kitaalamu. Rais Samia aliendelea na ziara yake katika mkoa wa Lindi kwa kuweka jiwe la msingi barabara ya Ruangwa Nanganga yenye urefu wa KM 53.2 ambayo ni sehemu ya barabara ya Nachingwea – Ruangwa – Nangwangwa yenye urefu wa kilomita 106 kiwango cha lami. Barabara hiyo inayojengwa na mkandarasi China 15 Group kwa thamani ya shilingi bilioni 50.3. barabara hiyo inasimamiwa na TEKU wa TANROAD na imeshakamilika kwa asilimia 71. Rais Samia amewataka wakandarasi kwenda kwa kazi ili kumaliza mradi huo kwa wakati. Akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Mtama, Rais Samia alisimama na kuzungumza na wanakijiji wa Nangungu na Nandalaga. Rais Samia aliendelea na ziara yake kwa kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa jengo la Halmashauri linalojengwa na Mkandarasi SUMA JKT Construction Ltd. Jengo hilo lina gharama ya shilingi bilioni 3.3 ambazo zinatolewa na serikali. Mrradi huo ulioanza Novemba 2021 unatarajiwa kukamilika Novemba 2023. Hadi hivi sasa mradi huo umekamilika kwa asilimia 70. Akiwa Mtama Rais Samia pia alizungumza na wananchi na kuwasisitiza kutunza amani na utulivu katika maeneo yao. Kupanda bei kwa korosho na kuwaeleza kuwa msimu wa mwakani wakulima watauza korosho iliyoongezwa thamani hivyo kuwataka wananchi kuongeza kasi ya kutanua mashamba na kulima kwa kiwango kikubwa (large scale farming) hasa mashamba ya mbaazi. Tarehe 19 Septemba, 2023 rais Samia aliendelea na ziara yake katika wilaya ya Kilwa Masoko ambapo Jiwe la Msingi kwa ajili ya Ujenzi wa Bandari kubwa ya uvuvi inayotarajiwa kukamilika Februari 2025 kwa gharama ya shilingi bilioni 266 na kutoa ajira zaidi ya 30,000. Rais Samia pia alizindua Awamu ya Kwanza ya ugawaji wa boti za kisasa, ambapo jumla ya boti 160 za mkopo wa masharti nafuu zitagawiwa kote nchini kwa ajili ya uvuvi (boti 131) na kilimo cha mwani (boti 21). Kupitia mpango huu, serikali inatarajia kutengeneza ajira za moja kwa moja zipatazo 3,295. Rais Samia alikabidhi boti 34 ili ziendelee kuimarisha shughuli za uvuvi na kilimo cha mwami katika pwani ya Kilwa Masoko ambazo zitaongeza kipato cha jamii kwa ujumla. Alieleza kuwa lengo la serikali ni kuifanya Lindi kuwa kitovu cha uchumi wa buluu kwa ukanda wa kusini. Rais Samia aliendelea na ziara yake katika mkoa wa Lindi kwa kuweka jiwe la msingi kwenye shule ya sekondari ya wasichana Lindi, Kijiji cha kilangala ikiwa ni moja kati ya shule 10 zinazojengwa chini ya Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP). Mradi unagharimu bilioni 106 hadi ukamilike nchi nzima. Majengo hayo yamejengwa kwa mafundi wa kijamii (force account). Kwa awamu ya kwanza Ujenzi wa shule huo umeshakamilisha bweni moja kwa asilimia 100 na mabweni manne kwa asilimia 90 ambapo bweni moja lina uwezo wa kubeba wanafunzi 120. Awamu ya pili yatajengwa mabweni manne yenye uwezo wa kubeba wanafunzi 80 kila bweni. Ujenzi utakapokamilika itakuwa na uwezo wa kuwa na wanafunzi 920 kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Awamu ya kwanza madarasa manne, madarsa imekamilisha madarasa 12 kwa asilimia 100 na hivi sasa yanajengwa madarasa mengine 10, Rais Samia aliendelea na ziara yake kwa kuweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Mkoa ya Rufaa, Kijiji cha Mitwero na kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara. Akizungumza katika mkutano huo, Rais Samia amesema Lindi ni miongoni mwa mikoa kumi na moja (11) iliyoingizwa kwenye Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) nchini kwa kushirikiana na IFAD, ambayo itagharimu Dola za Marekani **milioni 77.42.** Kupitia Programu hii, kitajengwa Kiwanda cha Kuchakata Samaki Kata ya Masoko pamoja na vichanja vya kukaushia dagaa na mazao mengine ya uvuvi katika maeneo mbalimbali. Rais Samia alieleza kuhusu fursa kubwa ya uzalishaji wa gesi asilia mkoani Lindi na kwamba Serikali imeamua kutekeleza Mradi uliokuwa umekwama kwa muda mrefu wa Kuchakata Gesi Asilia (yaani LNG). Mradi huu utakuwa kichocheo kikubwa cha uchumi na biashara wakati wa utekelezaji, ambapo inakadiriwa zitazalishwa zaidi ya ajira elfu kumi (10,000) na wakati wa uendeshaji ambapo kutakuwa na ajira 600 za moja kwa moja. Rais Samia aliitaka Wizara ya Madini iwahamasishe na kuwawezesha vijana kuingia kwenye uchimbaji mdogo wa madini mkoani humo kwa kuwa yapo majadiliano yanaendelea kati ya Serikali na baadhi ya makampuni kwa ajili ya uchimbaji wa madini ya kinywe (graphite). Rais Samia alieleza vijana wa Lindi wanaweza kutengeneza ajira kupitia utalii katika Mbuga za Wanyama za Selous na Nyerere pamoja na Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara kwa kuwa Lindi ni Mkoa pekee nchini wenye maeneo mawili (02) yaliyotambuliwa na UNESCO kuwa urithi wa dunia, ambayo ni Hifadhi ya Selous na Magofu ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara. Aidha, Rais Samia alihitimisha ziara yake katika mkoa wa Lindi kwa kuzungumza na wananchi wa Somanga Wilaya ya Kilwa pamoja na wananchi wa Ikwiriri wilaya ya Rufiji na Kibiti akiwa njiani kuelekea Mkuranga Wilaya ya pwani Rais Samia amehitimisha ziara yake mikoa ya kusini ambapo akiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam amezungumza na wananchi wa Somanga, Ikwiriri na Mkuranga na kuwaeleza nia ya serikali ya kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo alizindua kiwanda cha kutengeneza vioo cha Sapphire Float Glass Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Mradi wa kiwanda hiki umegharimu dola za Marekani milioni 311.14 (sawa na shilingi bilioni 745.74); Rais Samia amesema serikali inaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya utoaji huduma ili kupunguza urasimu na kutekeleza hatua za kiuchumi ambazo zimepokelewa vyema na wadau wa maendeleo. Amesema Serikali inatarajia kuzindua Mfumo wa kielektroniki wa kuhudumia wawekezaji (*Tanzania Electronic Investment Window*) ambao utaunganisha taasisi 12 za serikali zinazotoa huduma kwa wawekezaji. Wawekezaji watakaotaka kuwekeza nchini watapewa msaada katika mchakato wa usajili wa kampuni, upatikanaji wa ardhi, vibali na leseni kupitia dirisha moja la huduma ndani ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).
6eea268c93bc8b6fbbfb220b9e59e102af63af475fa49364e8aafc58d4d247bd
2,674
5.47831
93
14,649
1
0
0
0.074794
3.74
380
https://www.ikulu.go.tz/news/rais-samia-ashiriki-mkutano-wa-36-wa-umoja-wa-afrika-au-jijini-addis-ababa-nchini-ethiopia-tarehe-17-19-februari-2023
#### Habari ## RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA 36 WA UMOJA WA AFRIKA (AU) JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIOPIA TAREHE 17-19 FEBRUARI, 2023 Tarehe 16 Februari, 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 36 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). ** ** Kabla ya kuanza kwa mkutano huo, tarehe 17 Februari, 2023 Rais Samia alishiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika katika Jengo la Usalama na Amani la Julius Nyerere lililopo katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa nchini Ethiopia. Mkutano huo ulifuatiwa na Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama (PSC) la Umoja wa Afrika (AU) pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kujadili hali ya Usalama katika eneo la Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) siku hiyo hiyo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa tarehe 17 Februari, 2023. Tarehe 18 Februari, 2023 Rais Samia alitoa hotuba ya kujitambulisha katika Mkutano wa 36 wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika katika Ukumbi wa Nelson Mandela kwenye Makao Makuu ya Umoja huo. Akizungumza wakati akitoa hotuba hiyo, Rais. Samia alisema alikuwa na jukumua la kulileta taifa pamoja na kujipanga upya kuendeleza masuala yalioachwa na mtangulizi wake aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Rais John Pombe Magufuli. Aidha, Rais Samia alisema katika kipindi cha miaka miwili amekutana na wadau wa siasa wa ndani ya nchi na makundi mbalimbali ili kuliweka taifa pamoja. Vile vile, Rais Samia aliwahakikishia kuwa Tanzania itaendeleza misingi ile ile ya Sera ya mambo ya nje iliyowekwa na waasisi wa taifa letu. Wakati huo huo, Rais Samia aliwashukuru na kuwapongeza Wakuu wa Nchi na Serikali kwa kupitisha Azimio la kukifanya Kiswahili kuwa lugha rasmi ya AU ambao umemuwezesha leo kuhutubia Mkutano huo kwa lugha hiyo. Kwa upande mwingine, Rais Samia aliwaalika Wakuu wa nchi na Serikali katika Mkutano wa Kilele cha Jukwaa la Kijani (** Alliance for Green Revolution High Level Forum-AGRF**) utakaofanyika kuanzia tarehe 4 - 8 Septemba, 2023. Rais Samia alieleza kuwa Mkutano huo utajadili masuala ya Mifumo ya Chakula barani Afrika (** African Food Systems**) kwa kushirikiana na Wakulima, Wafanyabiashara na Wadau mbalimbali kutoka nchi za Afrika na nje ya Bara la Afrika. Mbali na kushiriki Mkutano huo, Rais Samia alikutana na kuzungumza na Viongozi wa Taasisi mbalimbali wakiwemo** **Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Dkt. Abiy Ahmed, Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Kundi la Mashirika ya Ndege ya Ethiopia Girma Wake, pamoja na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Bi. Victoria Kwakwa.
18b6d9a505bacb5ca8f8f62bf3b8baf6d8d45f6414a3022f29af458a666e03ad
460
5.152174
18
2,370
1
0
0
0.434783
5
46
https://www.ikulu.go.tz/news/ripoti-ya-kikosi-kazi-cha-kuratibu-maoni-ya-wadau-wa-demokrasia-ya-vyama-vingi-vya-siasa
#### Habari ## WASILISHO LA MWENYEKITI WA KIKOSI KAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN TAREHE 21 OKTOBA, 2022 **MAELEZO YA MWENYEKITI WA KIKOSI KAZI KWA MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI ANAWASILISHA RIPOTI YA KIKOSI KAZI** *Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania* *Mheshimiwa George B. Simbachawene (Mb), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu* *Mheshimiwa Balozi Hussein Kattanga, Katibu Mkuu Kiongozi* *Mheshimiwa Jaji Fransis Mutungi, Msajili wa vyama vya Siasa* *Mheshimiwa Mohamed Ali Ahmed, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa* *Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, Makamu Mwenyekiti wa Kikosi Kazi* *Waheshimiwa wajumbe wa Kikosi Kazi mliopo* *Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania* *SHUKRANI* ** Mheshimiwa Rais**, awali ya yote wajumbe wa Kikosi Kazi tunaomba kutumia fursa hii, kukushukuru na kukupongeza kwa juhudi unazofanya za kutuletea Watanzania maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii, hususani kuboresha mfumo wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa nchini. Mheshimiwa Rais, tunamshukuru na kumpongeza, Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa juhudi anazofanya Zanzibar za kuleta maendeleo ya kiuchumi, kisiasa na kijamii ikiwemo kuboresha mfumo wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa. *CHIMBUKO LA KIKOSI KAZI* *Mheshimiwa Rais***,** Tarehe 15 hadi 17 Desemba 2021 kulifanyika Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Jijini Dodoma ulioitwa “Mkutano wa Wadau wa Kujadili Hali ya Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania”. Mkutano huo ulijadili mafanikio na changamoto zilizopo katika suala la demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini. Mkutano huo uliufungua wewe Mheshimiwa Rais na ulifungwa na Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Katika mkutano huo, masuala mengi yanayohusu Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa yalijadiliwa na washiriki walitoa maoni na mapendekezo ambayo idadi yake ilifikia tisini na nane (98). Kutokana na wingi wa maoni na mapendekezo yaliyotolewa na kiu ya washiriki wa mkutano huo kuona yanafanyiwa kazi, washiriki wa mkutano huo waliazimia kwamba kiundwe Kikosi Kazi cha kuchambua na kuandaa mapendekezo ya kuwasilishwa Serikalini *UUNDWAJI WA KIKOSI KAZI* ** Mheshimiwa Rais**, Kikosi Kazi kiliundwa tarehe 23 Desemba 2021 kikiwa na wajumbe ishirini na nne (24), kati ya hao, kumi na sita (16) wanatoka Tanzania Bara na wanane (8) wanatoka Zanzibar. Baada ya Kikosi Kazi kuanza kazi, mjumbe Bibi Christine Solomon Mndeme, Naibu Katibu Mkuu wa CCM alibadilishwa, nafasi yake ilichukuliwa na Mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. *Mheshimiwa Rais***,** Uundwaji wa Kikosi Kazi ulizingatia uwakilishi wa wadau waliohudhuria Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa uliofanyika tarehe 15 hadi 17 Desemba 2021 Dodoma. Hivyo, muundo wake unajumuisha aina za wadau wafuatao: Wasomi, Wanasiasa, Vyama vya Siasa, Asasi za Kiraia, Taasisi za Dini, Taasisi za Serikali na Vyama vya Kitaaluma. ** Mheshimiwa Rais**, Majina ya wajumbe wa Kikosi Kazi ni haya yafuatayo kwa mpangilio wa alphabeti:- Na. | Jina | Wadhifa | | Mhe. Profesa Rwekaza Sympho Mukandala | Mwenyekiti | | Bw. Hamad Rashid Mohamed | Makamu Mwenyekiti | | Bw. Slim Said Abdallah | Mjumbe | | Mhe. Balozi Amina Salum Ali | Mjumbe | | Bw. Deodatus Mutalemwa Balile | Mjumbe | | Bibi. Fatma Abdulhabib Fereji | Mjumbe | | Mchungaji George Paul Fupe | Mjumbe | | Prof. Edward Gamaya Hoseah | Mjumbe | | Bibi. Jamila Mahmoud Juma | Mjumbe | | Bw. Zitto Zuberi Kabwe | Mjumbe | | Mhe. Juma Ali Khatib | Mjumbe | | Mhe. Haji Omar Kheri | Mjumbe | | Dkt. Lucas Luhende Kija | Mjumbe | | Bibi. Anna Meela Kulaya | Mjumbe | | Bw. Ali Omar Makame | Mjumbe | | Prof. Alexander Boniface Makulilo | Mjumbe | | Prof. Bernadeta Kilian Mchapwaya | Mjumbe | | Bw. Abdul Juma Mluya | Mjumbe | | Bw. Martin Bernard Mung’ong’o | Mjumbe | | Mhe. Mizengo Kayanza Pinda | Mjumbe | | Bibi. Saum Hussein Rashid | Mjumbe | | Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum | Mjumbe | | Dkt. Ave Maria Emilius Semakafu | Mjumbe | | Kamishna wa Polisi, Benedict Michael Wakulyamba | Mjumbe | | Bw. Sisty Leonard Nyahoza | Katibu | **KAZI ZILIZOFANYWA NA KIKOSI KAZI**** ** *Mheshimiwa Rais***, **baada ya uzinduzi Kikosi Kazi kilianza kazi tarehe 11 Januari 2022. Hadi sasa Kikosi Kazi kimefanya kazi zifuatazo: - kupitia hadidu rejea; - kuchambua hotuba ya kufungua, kufunga, maoni na mapendekezo yaliyotolewa katika mkutano wa wadau na kuainisha masuala muhimu ya kufanyiwa kazi; - kuandaa Mpango Kazi wenye masuala tisa (9) yaliyoanishwa; - kuchambua na kuandaa maoni na mapendekezo kuhusu suala la mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani ya vyama vya siasa; - kuandaa taarifa ya awali ya Kikosi Kazi iliyowasilishwa kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 12 Machi 2022; - kukaribisha maoni ya wadau; - kutoa maoni kwa Serikali kuhusu utungaji wa Kanuni za kuratibu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa; - kuzungumza na wadau mbalimbali wa demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa kwa upande wa Tanzania Bara na Zanzibar ili kupata maoni yao; na - kuchambua maoni ya wadau na - kuandaa ripoti ya Kikosi Kazi. **MAENEO YA YALIYOFANYIWA KAZI** ** Mheshimiwa Rais**, baada ya uchambuzi wa kina wa hotuba ya kufungua na kufunga, maoni ya wadau yaliyotolewa katika Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa wa tarehe 15 hadi 17 Desemba 2021, Kikosi Kazi kiliainisha masuala tisa (9) ya kufanyia kazi yafuatayo: - Mikutano ya hadhara na Mikutano ya ndani ya Vyama vya Siasa; - Masuala yanayohusu Uchaguzi; - Mfumo wa maridhiano ili kudumisha haki, amani, utulivu na Umoja wa kitaifa; - Ushiriki wa Wanawake na Makundi Maalum katika siasa na Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa; - Elimu ya Uraia; - Rushwa na Maadili katika Siasa na Uchaguzi; - Ruzuku ya Serikali kwa Vyama vya Siasa; - Uhusiano wa Siasa na Mawasiliano kwa Umma; na - Katiba Mpya. *Mheshimiwa Rais**, *ili kupata mtazamo mpana kuhusu masuala tisa yanayofanyiwa kazi, tarehe 14 Aprili, 2022 Kikosi Kazi kilitoa taarifa kwa umma kupitia vyombo vya habari, kualika watanzania wote kuwasilisha maoni na mapendekezo kuhusu masuala hayo tisa (9), kwa njia mbalimbali ikiwemo, “WhatsApp” kupitia namba ya simu ya Katibu, barua pepe [email protected], anuani ya posta ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na kuzungumza na wajumbe wa Kikosi Kazi ana kwa ana. *Mheshimiwa Rais**, wakati wa kutekeleza majukumu yake, Kikosi Kazi kimechambua maoni na mapendekezo 98, y*aliyotolewa na washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa uliofanyika tarehe 15-17 Desemba 2021 Dodoma. Vilevile, ilichambua maoni ya maandishi na kuzungumza yaliyotolewa na wadau mbalimbali waliowasilisha maoni na mapendekezo kwa Kikosi Kazi. Wadau waliowasilisha maoni kwa Kikosi walitoka katika makundi yafuatayo: - Viongozi wa Serikali waliopo madarakani na wastaafu; - Watu Mashuhuri; - Taasisi za Serikali; - Taasisi za Dini; - Vyama vya Siasa; - Makundi ya Kijamii; - Wanataaluma - Asasi za Kiraia - Wafanyabiashara - Wakulima - Watanzania waishio nje -Diaspora *Mheshimiwa Rais**, *Kikosi Kazi kimepata bahati ya kukutana na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara tatu. Tarehe 12 Machi 2022, tarehe 21 Machi 2022 na tarehe 30 Mei, 2022. Vilevile kimekutana na Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi mara tatu tarehe 10 Januari 2022, tarehe 20 Aprili 2022 na tarehe 15 Agosti 2022. Hivyo, wajumbe wa Kikosi Kazi tunawashukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar kwa fursa mlizotupa za kukutana nanyi pamoja na kuwa na majukumu mengi ya kitaifa. Fursa hizi mlizotupatia ni moja tu kati ya mambo mengi yanayodhihirisha utashi wenu wa kisiasa kwa kazi tunayofanya na maboresho ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa katika nchi yetu. ** Mheshimiwa Rais**, wajumbe wa Kikosi Kazi tunakushukuru kwa usimamizi na mwongozo wako thabiti katika kutekeleza majukumu yetu ya Kikosi Kazi. Tangu tuanze kazi tarehe 10 Januari 2022, hatujawahi kusitisha kazi yetu kwa sababu ya kukosa rasilimali au vitendea kazi, changamoto yoyote ilipotokea umekuwa ukitoa maelekezo ifanyiwe kazi mapema iwezekanavyo, ili kazi isisimame, iendelee kama kauli mbiu ya Taifa letu uliyoiasisi inavyosema. **MAPENDEKEZO YA KIKOSI KAZI** *Mheshimiwa Rais**, *baada ya kufanya kazi kwa muda wa miezi kumi (10), sasa tunayo heshima kuwasilisha kwako, matokeo ya kazi uliyotupatia. Ripoti ya Kikosi Kazi tunayowasilisha ina sura kumi na moja ambapo kila sura imeeleza suala husika, maoni ya wadau, uzoefu nchi nyingine, uchambuzi na mapendekezo ya Kikosi Kazi. *Mheshimiwa Rais**, ili kuokoa mda, ninawasilisha mapendekezo tu. Nayo ni haya yafuatayo:* **1. Kuhusu mikutano ya hadhara na mikutano ya ndani ya vyama vya siasa** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - - Mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa iruhusiwe kufanyika kwa mujibu wa Katiba na Sheria; - Mikutano ya ndani ya vyama vya siasa iendelee kufanyika bila vikwazo vyovyote; - yafanyike marekebisho ya Sheria, ili kuhakikisha mikutano ya hadhara inafanyika kwa ufanisi. Sheria hizo ni pamoja Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258, Sheria ya Jeshi la Polisi na Huduma Saidizi Sura ya 322 na Kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa za Mwaka 2019. **2. Kuhusu demokrasia ndani ya vyama vya siasa** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: Sheria ya Vyama vya Siasa ifanyiwe marekebisho ili: - kulipatia Baraza la Vyama vya Siasa linaloundwa na vyama vyenyewe, mamlaka ya kushughulikia suala la uvunjifu wa maadili ya Vyama vya Siasa kupitia Kamati yake ya Maadili; yaani self-regulation - Msajili wa Vyama vya Siasa aandae mwongozo wa uchaguzi wa ndani ya Vyama vya Siasa; - kuweka masharti kwamba idadi ya jinsi moja katika vyombo vya maamuzi vya chama cha siasa isipungue asilimia 40; na - kukitaka kila chama cha siasa kuwa na sera ya ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu katika shughuli za chama husika. **3. Kuhusu ruzuku kwa vyama vya siasa**** inayotolewa na Serikali ** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - chama kiwe na usajili kamili; - chama kiwe kimefanyiwa uhakiki na Msajili wa Vyama vya Siasa na kuthibitishwa kwamba, kinakidhi vigezo vya usajili kamili; - chama kiwe kimeshiriki Uchaguzi Mkuu angalau mara mbili tangu kupata usajili kamili; - katika mwaka wa fedha uliopita, chama husika kisiwe kimepata Hati Chafu ya Mahesabu kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali; na - ruzuku itumike kwa shughuli za kuendesha Ofisi ya Makao Makuu, Ofisi Ndogo au Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya chama cha siasa husika. - Sheria ya Vyama vya Siasa itamke kuwa, asilimia ishirini (20%) ya fedha za ruzuku kwa Vyama vya Siasa inayotolewa na Serikali katika mwaka wa fedha, igawiwe kwa Vyama vya Siasa vyenye Madiwani wa kuchaguliwa katika kata, kwa mujibu wa uwiano wa idadi ya Madiwani hao ambao kila chama kinao, kwani kwa sasa sheria haijatamka kiwango chochote bali imempa mamlaka Waziri Mwenye dhamana kuamua; na - Serikali iongeze fedha za bajeti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za Baraza la Vyama vya Siasa, ili liweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo, ikiwemo jukumu linalopendekezwa la kusimamia Maadili ya Vyama vya Siasa. 4. **Kuhusu uhuru wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - tume ya Taifa ya Uchaguzi isilazimike kufuata amri au maagizo ya mtu yeyote, idara yoyote ya Serikali, maoni ya chama chochote cha siasa, taasisi au asasi yoyote; na - utendaji wa Tume ya Uchaguzi uruhusiwe kuhojiwa kwenye Mahakama ya Juu pale itakapoanzishwa ili kuongeza uwajibikaji wa Tume. **5. Kuhusu uteuzi wa wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa utaratibu ufuatao utumike kuwapata wajumbe wa tume ya Taifa ya Uchaguzi: - kuwe na Kamati ya Uteuzi ya Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itakayokuwa na wajumbe wafuatao: - Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye atakuwa ni Mwenyekiti; - Jaji Mkuu wa Zanzibar ambaye atakuwa Makamu Mwenyekiti; - Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya Tanzania Bara; - Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya Zanzibar; - Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu; na - wajumbe wengine wawili watakaoteuliwa na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kupendekezwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika na Chama cha Wanasheria Zanzibar. - angalau wajumbe wawili wa Kamati ya Uteuzi wawe wanawake; - sifa za mtu kuwa Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ziainishwe; - nafasi ya mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itangazwe na Mtanzania yeyote mwenye sifa aruhusiwe kuwasilisha maombi kwa Kamati ya Uteuzi ya kuwa mjumbe wa Tume; - Kamati ya Uteuzi ifanye usaili wa watu waliowasilisha maombi ya kuwa wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kupendekeza kwa Rais majina ya watu wanaostahili kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi; - Kamati ya Uteuzi itawasilisha kwa Rais majina manne (4) zaidi ya idadi ya nafasi zinazohitajika kujazwa; na - Rais ateue wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi miongoni mwa majina yaliyowasilishwa kwake na Kamati ya Uteuzi. **6. Kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutohojiwa Mahakamani** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa, matokeo ya uchaguzi wa Rais yahojiwe kwenye Mahakama ya Juu mara itakapoanzishwa. **7. Kuhusu watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - wasimamizi wa uchaguzi wazingatie sheria, weledi, maadili, uwazi na ushirikishwaji wa wadau wakati wa kufanya kazi zao; na - wasimamizi wa uchaguzi watakaokiuka sheria na utaratibu wawajibishwe kwa mujibu wa Sheria. **8. Kuhusu bajeti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ipewe fedha zilizotengwa katika bajeti kwa wakati, hata baada ya uchaguzi, ili kuiwezesha kutekeleza majukumu yake ipasavyo wakati wote. **9. Kuhusu ****sheria zinazosimamia masuala ya uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - itungwe sheria ya kusimamia shughuli za Tume ya Taifa Uchaguzi; - kuwepo na sheria moja ya uchaguzi itakayotumika kusimamia uchaguzi wa Rais, wabunge na madiwani, badala ya kuwa na sheria mbili ambazo ni Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura 343 na Sheria ya Uchaguzi wa Madiwani Sura 292; na - maafisa wa Tume ya Uchaguzi watakaowaengua wagombea kushiriki katika uchaguzi bila kuzingatia sheria na weledi uchaguzi wawajibishwe kwa mujibu wa sheria. **10. Kuhusu matumizi ya TEHAMA katika uchaguzi**** ** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - matumizi ya TEHAMA katika mchakato wa uchaguzi yahamasishwe na kiwango chake kiongezwe; - zitayarishwe Kanuni mahsusi za kuratibu matumizi ya TEHAMA kwenye mchakato wa uchaguzi; na - kuwepo na uwekezaji wa kutosha kwenye miundombinu ya TEHAMA na usalama wake wakati wa uchaguzi. **11. Kuhusu ushiriki wa Wanawake katika Siasa, Demokrasia na Uongozi**** ** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - kuweka sharti la kila chama cha siasa kuwa na sera ya jinsia na ujumuishi wa makundi maalum katika jamii; - kuweka sharti la kisheria kwamba idadi ya jinsi moja katika vyombo vya maamuzi ndani ya chama cha siasa isipungue asilimia 40; - Kanuni za Usajili na Ufuatiliaji wa Vyama vya Siasa za Mwaka 2019 ziwe na vigezo vya ufuatiliaji ili kupima utekelezaji wa Sheria, katiba na kanuni za vyama vya siasa, kuhusu masuala ya jinsia na ujumuishaji wa makundi maalum ya jamii katika chama na uchaguzi; na - katiba za vyama ziwe na Ibara zinazoshughulikia masuala ya ukatili wa jinsia ikiwemo udhalilishaji wa wanawake; - kila chama cha siasa kiwe na programu maalumu kwa ajili ya kuwajengea uwezo wanawake kugombea ubunge, uwakilishi na udiwani, ikiwemo kuwa na mipango na mikakati ya kufikia usawa wa kijinsia; - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa na kila chama cha siasa kiwe na dawati la jinsia litakalofanyia kazi masuala ya jinsia ndani ya vyama vya siasa; - utaratibu wa kuwa na viti maalum vya Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wanawake uendelee, isipokuwa sheria ziboreshwe kuweka ukomo wa miaka kumi kwa mtu kuwa Mbunge, Mwakilishi au Diwani wa viti maalum vya wanawake. Uwakilishi huu uwe ni njia ya kupata uzoefu na kisha kupisha wanawake wengine wenye nia ya kuongeza ujuzi wa masuala ya siasa na uongozi. - kuwepo na mwongozo wa kisheria wa uteuzi wa wagombea na uchaguzi wa viongozi ndani ya Vyama vya Siasa, ikiwemo wabunge wa viti maalum ili kusaidia uteuzi na uchaguzi huo kuwa wa haki, uwazi na huru; - kila chama cha Siasa kiweke mkakati wa kuongeza idadi ya wanawake wanaogombea katika majimbo na kata za uchaguzi; na - kwa kuwa idadi ya wanawake ni ndogo katika Baraza la Vyama vya Siasa aongezwe mjumbe mmoja mwanamke kutoka kila chama cha siasa kuwa mjumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa; na - Wabunge wa Viti Maalum vya Wanawake waitwe Wabunge wa Taifa na Madiwani, waitwe Madiwani wa Wilaya, kwa sababu wabunge hao wanatokana na kura za nchi nzima na Madiwani wanatokana na kura za Wilaya. Aidha, Sheria ya Mfuko wa Jimbo ifanyiwe marekebisho ili itambue Wabunge wa Taifa kuwa miongoni mwa Wabunge wanaofaidika na fedha za Mfuko huo. **12. ****Kuhusu ushiriki wa Watu Wenye Ulemavu katika Siasa, Demokrasia na Uongozi**** ** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - sheria zisizozingatia ujumuishwaji wa Watu Wenye Ulemavu na zile zinazokwamisha ushiriki wao katika siasa, demokrasia na uongozi ndani ya vyama siasa zifanyiwe maboresho; - Vyama vya Siasa viweke mazingira rafiki yatakayowawezesha Watu Wenye Ulemavu kufanya shughuli za kisiasa bila vikwazo; - kila chama cha siasa kianzishe dawati la kushughulikia masuala ya Watu Wenye Ulemavu; - kuwepo na nafasi maalum kwa Watu Wenye Ulemavu katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Madiwani. Viti vya uwakilishi wa Watu Wenye Ulemavu Bungeni viwe katika uwiano utakaozingatia jinsi. Sula hili lifanyiwe kazi katika mchakato wa kutungwa kwa Katiba Mpya ili lifanyike kwa ufanisi. Hata hivyo, kwa kuanzia kila chama cha siasa kitumie utaratibu wa sasa wa viti maalum vya Wanawake kujumuisha Watu Wenye Ulemavu; - Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili: - iweke sharti kwamba chama cha siasa kiwe na nakala ya Katiba na Kanuni zilizo katika maandishi ya breli (nukta nundu). Aidha, katika mkutano mkuu wa chama taifa, awepo mkalimani wa lugha za alama; - katazo la ubaguzi kwa Watu Wenye Ulemavu katika vyama vya siasa lililopo katika kifungu cha 9(1)(c) cha sheria ya vyama vya siasa liwahusu pia viongozi wa vyama vya siasa; na - katiba ya chama cha siasa iwe na ibara inayokitaka chama husika kiwe na programu za kuwajengea uwezo watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika michakato ya kisiasa, demokrasia na uongozi ndani na nje ya chama. - zitungwe Kanuni za utekelezaji wa Kifungu cha 6A (2) cha Sheria ya Vyama vya Siasa kinachoelekeza chama cha siasa kuzingatia suala la ujumuishwaji wa Watu Wenye Ulemavu katika masuala ya vyama vya siasa na demokrasia; na - vyombo vya habari viandae vipindi maalum vya elimu ya uraia vinavyoeleza haki na mahitaji ya Watu Wenye Ulemavu. **13. ****Kuhusu ushiriki wa vijana katika Siasa, Demokrasia na Uongozi** ## Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa, juhudi zinazofanywa na Serikali kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa, demokrasia, uongozi, uchumi, ulinzi na usalama wa nchi yetu ziendelee na mikakati mipya ibuniwe ili kuongeza ufanisi na tija. **14. Kuhusu elimu ya uraia** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - Serikali iandae mwongozo wa kitaifa, mpango kazi na mikakati ya utoaji elimu ya uraia, ili utoaji wa elimu hiyo uzingatie vipaumbele vya taifa na kuwa na uelewa wa pamoja wa walengwa; - elimu ya uraia ikiwemo elimu ya mpiga kura ifundishwe katika ngazi zote za mfumo wa elimu kuanzia shule za awali mpaka katika vyuo vya elimu ya juu. Aidha, mtaala wa elimu ujumuishe masuala ya elimu ya uraia; - Serikali na wadau wengine waongeze kiwango cha ufadhili katika kutoa elimu ya uraia ikiwemo elimu ya mpiga kura, ili kukabiliana na upungufu wa rasilimali fedha, watu na vifaa katika kutoa elimu hiyo; - elimu ya mpiga kura itolewe kipindi chote siyo cha uchaguzi pekee, ili kuongeza muda wa kutoa elimu hiyo kuwezesha kuwafikia walengwa wengi zaidi; na - uratibu na ufuatiliaji wa elimu ya uraia unaofanywa na taasisi mbalimbali kwa mujibu wa sheria uendelee, isipokuwa ufanywe katika hali isiyokwamisha juhudi za kuwafikia watanzania wengi kupata elimu hiyo. **15. Kuhusu suala la kuzuia na kupambana na Rushwa katika Siasa na Uchaguzi** Kikosi Kazi kinapendekeza kuwa: - - - suala la rushwa litamkwe katika Katiba, ili wananchi watambue kuwa vitendo vya rushwa havitavumiliwa wala kuonewa muhali. Pendekezo hili lifanyiwe kazi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya ili lifanyike kwa ufanisi; - Sheria ya vyama vya Siasa Sura 258 irekebishwe ili: - - kuweka sharti kwamba, katiba ya chama cha siasa iwe na adhabu ya kumwondoa katika mchakato wa uchaguzi, mtia nia au mgombea aliyedhaminiwa na chama, endapo atathibitika kujihusisha na vitendo vya rushwa; - Msajili wa Vyama vya Siasa apewe mamlaka ya kuandaa mwongozo wa kufuatilia mchakato wa uteuzi wa wagombea na uchaguzi wa viongozi, ndani ya Vyama vya Siasa; na - kukitaka kila chama cha siasa kuwa na Kanuni za Maadili, zitakazodhibiti ukiukwaji wa maadili ndani ya chama, ikiwemo mwanachama kujihusisha na vitendo vya rushwa. Kanuni hizo ziweke utaratibu wa kushughulikia ukiukwaji wa maadili na adhabu, ikiwemo onyo, karipio, faini, kuvuliwa ujumbe wa kikao husika, kutoruhusiwa kugombea uongozi ndani ya miaka kumi tangu alipopatikana na hatia, kusimamishwa au kufukuzwa uanachama. - - Sheria ya Gharama za Uchaguzi irekebishwe ili: - - kutoa adhabu kwa mgombea atakayeshindwa kufanya marejesho ya gharama za uchaguzi badala ya kukiadhibu chama cha siasa; - vitendo vinavyokatazwa katika sheria hiyo kuwa na sifa ya kuwa kosa la jinai; - nyaraka za uthibitisho wa matumizi ya gharama za uchaguzi zibaki katika chama cha siasa husika badala ya kuwasilishwa kwa Msajili wa vyama vya siasa; na
9acbf045ce81cbb181d43c04923c9397bffe6137b3c5ac9cf54403f1a93c734f
3,553
5.22094
95
18,550
1
0
0
0.084436
7.6
378
https://www.ikulu.go.tz/news/rais-samia-afanya-ziara-ya-kikazi-mikoa-ya-geita-na-kigoma-kuanzia-tarehe-15-18-oktoba-2022
#### Habari ## RAIS SAMIA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MIKOA YA GEITA NA KIGOMA KUANZIA TAREHE 15 – 18 OKTOBA, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kikazi ya kuanzia tarehe 15-18 Oktoba, 2022 katika Mikoa ya Geita na Kigoma. Akiwa Mkoani geita tarehe 15 Oktoba, 2022, Rais Samia alizuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na kukagua Jengo la Makumbusho la Hayati John Magufuli. Mhe. Rais Samia pia alitembelea na kukagua Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita na kisha kuzungumza na wananchi wa Buseresere na Katoro mkoani humo. Vile vile Mhe. Rais Samia alizindua kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Mpomvu, kufungua Kiwanda cha kusafisha dhahabu kilichopo mkoani Geita (GGR) Chenye uwezo wa kuhifadhi dhahabu tani 50 na baadae kuzungumza na wananchi wa mkoani Geita katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa CCM wa Kalangalala, Geita mjini. Tarehe 16 Oktoba, 2022 Mhe. Rais Samia alihitimisha ziara yake kwa kuzungumza na Wananchi wa Runzewe mkoani Geita na kuzindua miradi sita ya umeme ikiwemo njia ya kusafirisha umeme wa msongo kv 220 Nyakanazi – Geita, Nyakanazi – Rusumo na njia kubwa za kusafirisha umeme kwenda mkoa wa Kigoma na kuzungumza na wananachi wa Nyakanazi wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera. Mhe. Rais Samia alianza ziara ya kikazi mkoani Kigoma kwa kuzindua Skimu ya maji ya Kakonko- Kizigizigu iliyopo mlima Kanyamfisi wilaya ya kakonko wilayani Kigoma. Aidha, Mhe, Rais Samia alifungua hospitali ya Wilaya ya Kakonko na kisha kufungua barabara ya Kabingo – Nyakanazi yenye urefu wa kilomita 50 ambayo imekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. Hali kadhalika, Mhe. Rais Samia alihutubia wananchi wa Kibondo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Kibondo. Tarehe 17 Oktoba, 2022 alihutubia wananchi katika uwanja wa Mvugwe, wilayani Kasulu, aliweka Jiwe la Msingi mradi wa ujenzi wa barabara ya kabingo- Kibondo – Kasulu- Manyovu yenye urefu wa kilomita 260.6. Vile vile Mhe. Rais Samia alizindua umeme wa gridi ya taifa na kuzima umeme wa jenereta kutoka ** megawatt **14 hadi **20 wilayani Kasulu mkoani Kigoma.** *megawatt* Aidha, Mhe. Rais Samia amesema kuzinduliwa kwa gridi hiyo kutawezesha mkoa wa Kigoma utapata umeme wa moja kwa moja na wa uhakika ambao utavutia wawekezaji mkoani humo na hivyo kukuza uchumi. Mhe. Rais Samia pia alizindua majengo mapya ya Chuo cha Ualimu Kabanga wilayani Kasulu ambayo yamejengwa na Serikali chini ya Mradi wa Kuboresha Mafunzo ya Ualimu Tanzania (TESP). Sambamba na hilo, Mhe. Rais Samia pia alizindua na kuweka Jiwe la Msingi ujenzi wa barabara ya Manyovu - Kasulu - Kibondo - Kabingo/Kakonko, kufungua barabara ya Kidahwe – Kasulu pamoja na kufungua Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe kabla ya kuzungumza na wananchi Manyovu/ Mnanila. Tarehe 18 Oktoba, 2022, Mhe. Rais Samia aliweka Jiwe la Msingi upanuzi wa bandari Ndogo ya Kibirizi katika Makao Makuu ya Bandari ya Ziwa Tanganyika na kisha kuweka Jiwe la Msingi Jengo la kutolea Huduma za Wagonjwa wa Dharura (EMD) na Wagonjwa wa Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Maweni mkoani Kigoma. Mhe. Rais Samia alihitimisha ziara yake kwa kuhutubia wananachi wa Mkoa wa Kigoma katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika na kisha kurejea jijini Dar es Salaam kuendelea na majukumu yake ya kila siku.
1c8c501a718f9cb612a89983e014b94ea883a55294986d73c17bed68f78587cc
558
5.184588
28
2,893
1
0
0
0.358423
5.56
54
https://www.vpo.go.tz
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa mnamo tarehe 26 Aprili, 1964 ikiwa ni Muungano wa Mataifa mawili huru ya Tanganyika na Zanzibar. Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ziliingia mkataba wa Muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzishwa Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkataba wa Muungano ulitiwa saini na aliyekuwa Rais wa Tanganyika, Hayati Mwalimu Julius Nyerere na aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, tarehe 22 Aprili 1964 huko Zanzibar. Mkataba huo ulithibitishwa na Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi hapo tarehe 26 Aprili, 1964. Tarehe 27 Aprili, 1964, viongozi wa nchi zote mbili walikutana katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam na kubadilishana Hati za Muungano. Muundo wa Muungano wa Tanzania kama ulivyoelezwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, una vyombo viwili vyenye mamlaka ya utendaji ambavyo ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; Vyombo viwili vyenye mamlaka ya kutekeleza utoaji haki ambavyo ni Mahakama ya Jamhuri ya Muungano na Mahakama ya Zanzibar; na vyombo viwili vyenye mamlaka ya kutunga sheria na kusimamia utekelezaji wa shughuli za umma ambavyo ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashughulikia mambo yote ya Muungano kama yalivyoainishwa katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanzania Bara. Aidha, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inashughulikia mambo yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanzania Zanzibar. Sera ya Taifa ya Uchumi wa Buluu ya Mwaka 2024 Mkakati wa Utekelezaji wa Sera ya Uchumi wa Buluu ya Mwaka 2024 Kitabu cha Miaka 60 Ofisi ya Makamu wa Rais Kitabu cha Hoja za Muungano zilizopatiwa ufumbuzi Agosti 24, 2021 Utaratibu wa Vikao vya Pamoja vya SJMT na SMZ vya kushughulikia masuala ya Muungano Mwongozo wa Vikao vya Kuimarisha Ushirikiano wa Wizara, Idara na Taasisi ziziso za Muungano za SjMT na SMZ Mazingira ni muhimu kwa mkakati wetu wa maendeleo kwa sababu ya kuweka uwiano kati ya faida za kiuchumi na kijamii katika kutimiza mahitaji yetu bila kuathiri yale ya vizazi vijavyo. Serikali inazingatia usimamizi wa mazingira kama ajenda ya kipaumbele kama inavyoonyeshwa katika mipango yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Sera ya Taifa ya Mazingira (1997) baadaye Sera ya Taifa ya Mazingira (2021), Sheria ya Usimamizi wa Mazingira (2004) na Kanuni, programu na miradi yake. Elimu kwa umma na ufahamu ni muhimu kwa usimamizi bora wa mazingira ili kukuza maliasili zetu na mazingira kwa njia endelevu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba ujuzi na ufahamu hutoa maarifa tunayohitaji ili kuongoza maamuzi yetu na matendo madhubuti. Tovuti hii inaonesha juhudi za Serikali katika kukuza uelewa wa usimamizi wa mazingira nchini. Ninaamini kwamba tovuti hii itachangia vyema katika kuboresha ujuzi wetu, ufahamu na mtazamo ambao utatusaidia azma yetu ya kushughulikia changamoto za kimazingira zinazokabili ardhi yetu na bayoanuwai yake ya ajabu. Mazingira yetu ni yetu ya sasa na maisha yetu yajayo, kila mdau atekeleze majukumu ipasavyo. Mwongozo wa Udhibiti wa Taka Ngumu kwa kutumia Dhana ya Punguza, Tumia Tena na Rejeleza National Carbon Trade Guidelines Guidelines for Preparation on Environment Action Plans for Sector Ministries and Local Government Authorities National Guidelines for Strategic Environmental Assessment The National Guidelines for Mainstreaming Gender into Environment Guidelines for Sustainable Management of Wetlands
27eb8a377d23bd3c11c403c9936680a20aec2302d961835ab47e457faa156fa9
550
5.469091
16
3,008
1
0
0
0
3.27
72
https://www.utumishi.go.tz/faqs
#### Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara A. Maswali yanayoulizwa mara kwa mara kuhusiana na Usajili, Kusahau Nywila na Ku-reset Password. 1. Najaribu kujisajili ninaletewa ujumbe “The email address you are trying to register with is not the same as in your HCMIS profile.” Hii inasababishwa na email unayotumia kujisajili haifanani na email iliyopo kwenye taarifa zako kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara Serikalini (HCMIS). Kutatua changamoto hii unapswa kuwasiliana na Afisa Utumishi wako ili ahuishe taaifa zako ikiwepo kukuwekea email unayotaka kujisajili nayo pamoja na namba ya simu ya mkononi unayotumia kwenye Mfumo wa HCMIS. Pia Mtumishi anapewa angalizo kuhakikisha barua pepe (email) anayotumia kujisajili ni ya kwake na anaweza kuifungua na kusoma emails. Hii ni muhimu kwa sababu pindi anapojisajili nywila (Password) hutumwa kwenye barua pepe hii. 2. Nimekosea barua pepe, barau pepe ya mwanzo niliotumia kujisajili siitumii tena, Barua pepe niliyotumia kujisajili nimesahau nywila yake na nimeshindwa kuirejesha. Iwapo utakuwa na changamoto yoyote kati ya hizo hapo juu utapswa kuwasiliana na Afisa Utumishi wako ili aweze kuhuisha taarifa zako wenye Mfumo wa HCMIS kwa kuweka barua pepe mpya unayotumia sasa. Kisha utaenda kwenye Mfumo wa Watumishi Portal na kuomba kubadili nywila (Password Reset). Utatumiwa Nywila Mpya kwenye barua pepe yako mpya. 3. Nikiweka au kubadilisha nywila (Password) naambiwa “weak password” Password inatakiwa kuwa na mchanganyiko wa herufi kubwa [A-Z], herudi ndogo [a-z], namba [0-9] na alama maalum [!@#.] na idadi isipungue herufi nane (8). Mfano Maji@2025. Aidha, Mtumishi aepuke kutumia taarifa kama tarehe za kuzaliwa, Majina ya kwake na wanafamilia wake na ndugu au jamaa za karibu. 4. Nikijisajili kwenye mfumo naambiwa “User already Exit by check number” Hii inaashiria check number husika imeshatumika kufanya usajili. Unapaswa ku bofya kiunganishi cha “Forgot Password” kisha jaza taarifa (check Number na Email yako uliyotumia kujisajili) ili upatiwe nywila mpya. Ukishindwa wasiliana na Afisa TEHAMA wa taasisi yako. 5. Nikijisajili kwenye mfumo naambiwa “User already Exit by email” Hii inaashiria barua pepe (email) husika imeshatumika kufanya usajili. Unapaswa ku bofya kiunganishi cha “Forgot Password” kisha jaza taarifa (check Number na email yako uliyotumia kujisajili) ili upatiwe nywila mpya. Ukishindwa wasiliana na Afisa TEHAMA wa taasisi yako. 6. Nikijisajili kwenye mfumo naambiwa “User already Exit by National Id” Hii inaashiria namba ya NIDA (NIN) husika imeshatumika kufanya usajili. Unapaswa ku bofya kiunganishi cha “Forgot Password” kisha jaza taarifa (Check Number na Email yako uliyotumia kujisajili) ili upatiwe nywila mpya. Ukishindwa wasiliana na Afisa TEHAMA wa taasisi yako. 7. Mfumo unaniambia “Wrong Credentials” Mtumishi anapopata ujumbe wa aina hii maana yake “username” au “password” aliyoweka sio sahihi. Mtumishi anapaswa kuweka taarifa zake kwa usahihi, na kama amesahau nywila yake anaweza kubofya kiunganishi cha “Forgot Password” kisha jaza taarifa (Check Number na email yako uliyotumia kujisajili) ili upatiwe nywila mpya. 8. Nimejisajili lakini sijapokea ujumbe kwenye barua pepe yangu. Ingia kwenye barua pepe yako sehemu ya “INBOX” kama ujumbe haupo nenda kwenye sehemu ya “SPAM” au “BLOCKED MAILS” kama sehemu zote hakuna ujumbe unaweza kubofya kiunganishi cha “Forgot Password” kisha jaza taarifa (Check Number na email yako uliyotumia kujisajili) ili upatiwe nywila mpya. B. Maswali na majibu kwenye huduma ya Uhamisho (e-Transfer) 1. "Supervisor" wangu haoni ombi nililomtumia Ili msimamizi aweze kuona maombi ya watumishi walioko chini yake atapaswa awe amejisajili. Pia Afisa TEHAMA wa Taasisi husika atatakiwa kumpatia “Supervisor role” kulingana na majukumu yake mfano mkuu wa sehemu, kituo cha kazi, idara au kitengo. Kuthibitisha hili wasiliana na Afisa TEHAMA wa taasisi yako. Maombi ya uhamisho yanaonekana baada ya supervisor kubofya “Transfer Requests” upande wa kushoto. Kama ni mkuu wa sehemu au kituo cha kazi ataona maombi ndani ya menu imeandikwa “Workstation Supervior Transfer Approval”. Kama ni mkuu wa Idara au kitengo ataona maombi ndani ya menu imeandikwa “Department/Unit Transfer Approval” Kama ni mkuu wa sehemu ataona maombi ndani ya menu imeandikwa “Section Supervisor Transfer Approval” 2. Mfumo unanipa ujumbe “No teaching Subject” Mtumishi ambaye ni mwalimu wa Sekondari anapaswa kuwa na masomo ya kufundishia kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS). Iwapo taarifa hizi hazijawekwa mtumishi atapata ujumbe huu wa “No teaching Subject” pindi atakapotaka kuomba uhamisho. Kutatua changamoto hii mtumishi atatakiwa kuwasiliana na Afisa Utumishi aweze kukuwekea masomo unayofundisha 3. Naambiwa nina “pending request” nikiwa nataka kuomba uhamisho wa kubadilishana. Mtumishi anaweza kuomba kuhama, au kubadilishana kituo mara moja tu kwa kipindi kimoja. Iwapo utakuwa na maombi yanasubiri Idhini, au una maombi ya kubadilishana kituo ambayo bado haujapata mtu wa kubadilishana naye na ukajaribu kunzisha maombi mengine bila kufuta ya awali mfumo utakuletea ujumbe huu wa “pending request”. Unatakiwa kuwa na ombi moja kwa wakati, kwahiyo mtumishi anatakiwa kufuta ombi lake alilotengeneza kabla kusajili ombi lingine. C. Maswali na majibu kwenye huduma ya Taarifa Binafsi (My Profile) 1. Taarifa zangu (mfano Cheo, Idara, Sehemu, Kituo cha Kazi, Tarehe za Kuajiriwa au Kuthibitishwa kazini, Baruapepe, Namba za Simu, n.k) sio sahihi Mtumishi atakayeona kwenye profile yake taarifa zake haziko sahihi, anapaswa kuwasiliana na Afisa Utumishi wake akiwa na vithibitisho vya taarifa zake sahihi. Afisa Utumishi baada ya kujiridhisha atatakiwa kufuata taratibu zote zinazopaswa kuhakikisha anahuisha taarifa za mtumishi kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara. 2. Taarifa zangu (mfano Cheo, Idara, Sehemu, Kituo cha Kazi, Tarehe za Kuajiriwa au Kuthibitishwa kazini, Baruapepe, Namba za Simu, n.k) hazipo Mtumishi atakayeona kwenye profile yake taarifa zake haziko sahihi, anapaswa kuwasiliana na Afisa Utumishi wake akiwa na vithibitisho vya taarifa zake sahihi. Afisa Utumishi baada ya kujiridhisha atatakiwa kufuata taratibu zote zinazopaswa kuhakikisha anahuisha taarifa za mtumishi kwenye Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara. D. Maswali na majibu kwenye huduma ya e-Mkopo (e-Loan) 1. Nikitaka kuomba mkopo naambiwa “No phone number or phone number is invalid please contact your employer” Mtumishi anayekutana na changamoto hii anapaswa kuingia kwenye profile yake kuhakiki taarifa ya namba yake ya simu. Kama namba yake ya simu haiko sawa, ni namba aliyokuwa akitumia zamani na sasa haitumii, kama imeandikwa vibaya au namba ya simu hakuna kabisa kwenye profile yake awasiliane na Afisa Utumishi wake ili arekebishe taarifa husika. 2. Sijapata msimbo wa kuthibitisha ombi la mkopo (OTP) kwenye simu yangu wakati wa kutuma ombi la mkopo. Hakikisha namba iliopo kwenye profile yako ni sawa na unayotegemea kupata ujumbe husika. Kama ni tofauti wasiliana na Afisa Utumishi wako ili aweze kuhuisha taarifa zako (namba ya simu). Aidha kama namba ni sahihi, jaribu mara nyingine tena kwani inaweza kuwa changamoto ya mtandao. Iwapo utajaribu zaidi ya mara tatu na haupati msimbo tafadhali wasiliana na huduma kwa kutuma barua pepe kwenda [email protected] au Simu 026 2160240. Pia iwapo ulianzisha ombi la mkopo kisha ukabadili namba ya simu kwenye mfumo, tafadhali futa ombi hilo ili uanzishe ombi upya. 3. Mfumo unaniambia “invalid account number” wakati wakuhifadhi ombi la mkopo Hakikisha unaweka akaunt namba sahihi kama inavyosomeka kwenye taarifa za Benki husika. Hauwezi kutumia Akaunti namba ya Benki nyingine kuombea Mkopo kwenye Benki nyingine 4. Mfumo unaniambia “Dormant account number” wakati wakuhifadhi ombi la mkopo Ili uweze kukopa, akaunti ya benki unayotarajia kupokea fedha za mkopo inapaswa kuwa hai. Ikiwa haujatumia akaunti hiyo kwa zaidi ya miezi sita(6) tafadhali wasiliana na Benki husika ili kuhuisha akaunti yako kabla ya kuomba mkopo. 5. Mfumo unaniambia “Names missmatch” wakati wakuhifadhi ombi la mkopo Hakikisha majina yako kwenye taarifa za Ajira (kwenye Profile yako na Mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara - HCMIS) ni sawa sawa na majina yaliopo kwenye taarifa za akaunt ya Benki husika Mtumishi wa umma aliyepata ajali, kuumia au kufariki akiwa kazini anatakiwa atoe taarifa kwa mwajiri wake kisha mwajiri afuate taratibu zifuatazo:- •Mwajiri anapaswa kuwasilisha taarifa ya awali kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma huku akiendelea kuunda kamati ya uchunguzi wa ajali Kanuni 111(1) na 111(2) yahusika. •Baada ya kamati ya uchunguzi kukamilisha taarifa, mwajiri anapaswa kuwasilisha taarifa hiyo kwa Katibu Mkuu (Utumishi) ikiwa na mapendekezo yake mintaarafu Kanuni 111(5). •Katibu Mkuu – Utumishi atawasilisha mapendekezo yote pamoja na ushauri wake kwa Katibu Mkuu Kiongozi ambaye ndiye mwenye mamlaka ya kuamua kiwango cha malipo ya fidia kwa mtumishi aliyepata ajali akiwa kazini hii ni kwa mujibu wa Kanuni ya 112. Ili kuongeza uwajibikaji, kila Taasisi ya Umma inatakiwa iwe na Mkataba wa Huduma kwa Mteja.Mkataba wa Huduma kwa Mteja unawapa fursa wateja kuelewa ubora wa huduma zinazotolewa na taasisi za umma. Kimsingi,na kwa kuwa kila Wizara kwa sasa tayari ina mfumo wa utendaji wa kimenejimenti ambayo mojawapo ya mahitaji ni kuwa na mkataba wa huduma kwa mteja Suala la ajira mpya linategemea na kuwepo kwa mahitaji halisi ya kuwa na mtumishi mpya na inatakiwa kuingizwa kwenye bajeti (Ikama).Nafasi ambazo ziko wazi kabla ya kujazwa lazima fedha itengwe (Bajeti) kwa ajili ya watumishi watakaoajiriwa.Jukumu hili ni la mwajiri mwenyewe ambaye anawajibu wa kuangalia maeneo yanayohitaji rasilimali watu.Hata hivyo,kama zilivyo nafasi za ajira mbadala,kwa nafasi mpya pia ni lazima zipatiwe vibali vya ajira mbadala,kwa nafasi mpya pia ni lazima zipatiwe vibali vya ajira pamoja na kufuatwa kwa taratibu za ajira kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira ya mwaka 1999 na Sheria ya Utumishi wa Umma Na.8 ya mwaka 2002 pamoja na marekebisho yake Na.17 ya mwaka 2007. Iwapo mtumishi wa umma ambaye hajaridhika na adhabu aliyopewa iliyotokana na kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa utaratibu ulio rasmi na ule usio rasmi anaweza kukata rufaa kama ilivyoonyeshwa katika Jedwali lililotangulia. Katika Utumishi wa Umma zipo aina mbili za ushughulikiwaji wa makosa ya kinidhamu. Aina hizo ni:- (i)Makosa yanayoshughulikiwa kwa utaratibu rasmi (formal proccedings)-Kanuni 42(1) Kanuni za Utumishi wa Umma,2003 (ii)Makosa yanayoshughulikiwa kwa utaratibu usio rasmi(summary proceedings-Kanuni 43(1), Kanuni za Utumishi wa Umma, 2003 •Makosa yanayofaa kushughulikiwa kwa utaratibu ulio rasmi pamoja na adhabu zimeorodheshwa katika Jedwali la Kwanza, Sehemu ‘A’ ya Kanuni za Utumishi wa Umma, 2003 •Makosa yanayofaa kushughulikiwa kwa utaratibu usio rasmi pamoja na adhabu zimeorodheshwa katika Jedwali la Kwanza, Sehemu B, Kanuni za Utumishi wa Umma, 2003 Mamlaka ya kulipa fidia itatoa taarifa ya kiwango cha fidia kwa mwajiri na endapo fidia husika imeridhiwa, mwajiri wa mtumishi atapaswa kuandaa malipo hayo na pale mwajiri anaposhindwa kulipa fidia husika anaweza kuwasilisha maombi hayo Hazina. Mwajiri ambaye hataridhika na uamuzi uliotolewa na mamlaka ya rufaa anaweza kukata rufaa kwa mamlaka ya juu ya rufaa inayostahiki. Sio kweli kuwa kwenye mfumo wa Utumishi watu wenye elimu ndogo ndio wanaopangwa vijijini.Utaratibu uliopo ni wa kuhakikisha kuwa watumishi wanapangwa sehemu mbalimbali za nchi kulingana na mahitaji. Ili mtumishi wa umma aweze kulipwa mshahara binafsi inatakiwa apate kibali cha mshahara binafsi kinachotolewa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma mintaarafu mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 Kifungu Na. 8 (3) (e) kikisomwa kwa pamoja na Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma Toleo la Mwaka 2009 Kanuni E.1.
e141c3283a05563b7aa3c58fda35c50eed517b00b4c0585d1281efc510154953
1,775
5.738592
83
10,186
1
0
0
0.112676
2.48
220
https://www.utumishi.go.tz/pages/about-us
#### Kuhusu Sisi 1.0 UTANGULIZI Jukumu kubwa la OR-MUUUB ni kuimarisha Utawala Bora katika uendeshaji wa shughuli za Serikali kwa kubuni Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za uendeshaji na usimamizi wa shughuli za utumishi wa umma na kujenga uwezo wa watumishi wa Umma ili watoe huduma bora kwa wananchi. Kwa mujibu wa Hati ya Mgawanyo wa Majukumu kwa Mawaziri kama ilivyotangazwa katika Gazeti la Serikali Toleo Na. 619A&619B la tarehe 30/8/2023, OR-MUUUB ina majukumu yafuatayo:- - Kuandaa, kuhuisha na kusimamia utekelezaji wa Sera za Utawala, Serikali Mtandao, Makazi ya Watumishi wa Umma, Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma; - Kusimamia Utawala wa Utumishi wa Umma; - Kusimamia mikataba ya utendaji kazi Serikalini; - Kusimamia mipango na uendelezaji rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma; - Kusimamia Orodha ya Mishahara katika Utumishi wa Umma; - Kusimamia Maadili ya Utumishi wa Umma; - Kuandaa na kusimamia miundo na mifumo ya uendeshaji wa Serikali na uboreshaji wa utoaji huduma wa Utumishi wa Umma; - Kuratibu uanzishwaji na uendelezaji wa Wakala za Serikali; - Kusimamia na maboresho katika Utumishi wa Umma; - Kusimamia utendaji kazi na uendelezaji wa rasilimaliwatu katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma; na - Kusimamia taasisi, programu na miradi iliyo chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. 1.1 DIRA NA DHIMA 1.1.1 DIRA Kuwa na “Utumishi wa umma wenye ufanisi na uwajibikaji katika kufikia ustawi wa Taifa" 1.1.2 DHIMA “Kusimamia utumishi wa umma kupitia Sera, Mifumo na Miundo ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu iliyoboreshwa” 1.2 Maadili ya Msingi katika Taasisi -Uzalendo -Uadilifu -Ubora -Mteja Kwanza
3aa2ce0c9e97234014ff62328dc4d14c5b2e3aa8069fc48fa72564aa9ec373d1
267
5.441948
4
1,453
1
0
0
0.374532
6.74
35
https://www.utumishi.go.tz/biographies
English Kiswahili Maswali ya mara kwa mara | Barua Pepe Utumishi | Huduma kwa Mteja Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mwanzo Kuhusu Utumishi Uongozi Muundo wa Ofisi Idara Establishment Administration and Human Resource Management Policy Development Department Of Ethics Management Department of Human Capital Management Directorate of Organization Development Performance Contracting Division Department of Planning Government Information and Communication Services Human Resource Development Section Division of Salary Insentive and Benefits Uongozi Vitengo Finance and Accounts Unit Government Communication Unit Internal Audit Unit Legal Services Unit Procurement Management Unit Machapisho Nyaraka Fomu Miongozo Hotuba Gazeti la Serikali Habari Magazetini Kituo cha Habari Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari Maktaba ya Video Maktaba ya Picha Jarida Miradi Matangazo Nafasi za Kazi Nafasi za Mafunzo Blogu Maswali ya mara kwa mara | Barua Pepe Utumishi | Huduma kwa Mteja Utawala Mhe. George Boniface Simbachawene Waziri Mhe. George Boniface Simbachawene Waziri Mhe. Deus Clement Sangu Naibu Waziri Bw. Juma Selemani Mkomi Katibu Mkuu Bw. Xavier Mrope Daudi Naibu Katibu Mkuu
c459f9414fc4b42880064c43743520a83f0a26619045028edf3340c841a8a9c2
178
5.983146
6
1,065
1
0
0
0
2.81
11
https://www.utumishi.go.tz/documents/press-releases
English Kiswahili Maswali ya mara kwa mara | Barua Pepe Utumishi | Huduma kwa Mteja Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mwanzo Kuhusu Utumishi Uongozi Muundo wa Ofisi Idara Establishment Administration and Human Resource Management Policy Development Department Of Ethics Management Department of Human Capital Management Directorate of Organization Development Performance Contracting Division Department of Planning Government Information and Communication Services Human Resource Development Section Division of Salary Insentive and Benefits Uongozi Vitengo Finance and Accounts Unit Government Communication Unit Internal Audit Unit Legal Services Unit Procurement Management Unit Machapisho Nyaraka Fomu Miongozo Hotuba Gazeti la Serikali Habari Magazetini Kituo cha Habari Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari Maktaba ya Video Maktaba ya Picha Jarida Miradi Matangazo Nafasi za Kazi Nafasi za Mafunzo Blogu Maswali ya mara kwa mara | Barua Pepe Utumishi | Huduma kwa Mteja Kituo cha Habari Taarifa kwa Vyombo vya Habari Taarifa kwa vyombo vya Habari 29th Mar 2024 SERIKALI KUSHUGHULIKIA MASUALA YA KIUTUMISHI KWA NJIA YA KIELEKTRONI KUANZIA TAREHE 2 APRILI, 2024 Siku mpaka Kuisha : 159 31st Dec 2023 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UPOTOSHAJI WA MIFUMO YA TEHAMA YA KIUTUMISHI 24th Aug 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE; MFUMO WA KIELEKTRONI NI USHINDI KATIKA KUTENDA HAKI 23rd Aug 2023 TAARIFA KWA UMMA 12th Aug 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE AELEKEZA KUBADILISHWA KWA MCHAKATO WA KUWAPATA WALENGWA WA TASAF 09th Aug 2023 SERIKALI YAJA NA MFUMO WA KUONDOKANA NA SUALA LA UPUNGUFU WA WATUMISHI - WADAU WASISITIZWA KUTOA MAONI KUUBORESHA 05th Aug 2023 MHE. SIMBACHAWENE ARIDHISHWA NA THAMANI YA FEDHA ILIYOTUMIKA KATIKA MRADI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MWANANGWA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI 04th Aug 2023 WANANCHI 72,000 KUNUFAIKA NA KITUO CHA AFYA KINACHOJENGWA KUPITIA MIRADI YA TASAF WILAYANI KWIMBA 29th Jul 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI SERIKALINI KUTOA FURSA KWA WATUMISHI WANAOWAONGOZA ILI WAONESHE UWEZO WAO KIUTENDAJI 27th Jul 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA UTUMISHI MMOJA USIO NA MATABAKA KWENYE MASLAHI 22nd Jul 2023 MHE.KIKWETE : TAALUMA YA UUGUZI NI YA KUJITOA NA YENYE UTHUBUTU 20th Jul 2023 Wananchi wa Kijiji cha Kidenge wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipokuwa akizungumza nao wakati ziara ya 12th Jul 2023 RAIS SAMIA SULUHU HASSAN : RUSHWA INAZIDHOOFISHA NCHI ZA AFRIKA 10th Jul 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE AZIASA NCHI ZA AFRIKA KUWA NJIA YA PAMOJA YA KUPAMBANA NA TATIZO LA RUSHWA 09th Jul 2023 WANANCHI WASISITIZWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KATIKA VITA DHIDI YA RUSHWA 07th Jul 2023 WAZIRI SIMBACHAWENE AELEZA DHAMANA WALIYONAYO MAKATIBU TAWALA WA WILAYA KWA WANANCHI 07th Jul 2023 WAZIRI MHE.SIMBACHAWENE AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI 23rd Jun 2023 WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AZITAKA TAASISI ZA UMMA KUZINGATIA MIKATABA YA HUDUMA KWA MTEJA KATIKA KUTOA HUDUMA BORA 17th Jun 2023 SERIKALI YATOA RAI KWA WATUMISHI WA UMMA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI 14th Jun 2023 WAZIRI MHE. SIMBACHAWENE AHIMIZA UBUNIFU KWA WATUMISHI WA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO 14th Jun 2023 KATIBU MKUU - UTUMISHI, BW. MKOMI ATAKA MALALAMIKO NA MAONI YA WANANCHI KUJIBIWA KWA WAKATI KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI 08th Jun 2023 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TARATIBU ZA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA NA WAKURUGENZI WATENDAJI WA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA 05th May 2023 HOTUBA YA MHE KASSIM MAJALIWA MAJALIWA (MP), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANIO WA TANZANIA ILIYOSOMWA SIKU YA MAHAFALI YA PROGRAMU ZA UONGOZI ZITOLEWAZO NA TAASISI YA UONGOZI, UKUMBI WA MLI 31st Jan 2023 HOTUBA YA MH, JENISTA .J. MHAGAMA (MB), WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UTEKELEZAJI WA MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJ 30th Jan 2023 HOTUBA YA MHE. JENISTA JOAKIM MHAGAMA (MB.), WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KUHUSU MATOKEO YA TAFITI YA HALI YA UZINGATIAJI MAADILI KATIKA UTUM 23rd Dec 2022 MAELEKEZO YA WN-OR (MUUUB) MHE. JENISTA MHAGAMA KWA WAAJIRI KUHUSU UTEKELEZAJI WA AGIZO LA KUWAREJESHEA MICHANGO WALIYOCHANGIA KATIKA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII WATUMISHI WALIOONDELEWA KATIKA 09th Dec 2022 UZINGATIAJI WA MAADILI KATIKA UTUMISHI WA UMMA WAONGEZEKA NA KUFIKIA ASILIMIA 75.9 KUTOKANA NA JITIHADA ZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA 12th Apr 2022 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU AJIRA MPYA 2021-2022 24th Mar 2022 TAARIFA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA KUHUSU UZINDUZI WA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA TATHMINI YA HALI YA WATUMISHI KATIKA UTUMISHI WA UMMA 16th Mar 2022 TAARIFA YA MAFANIKIO YA MWAKA MMOJA WA SERIKALI YA AWAMU YA SITA
5655710a42cf5890934d7c88f1b0b067022e09a79d708cb6482b24b35c9dccb1
765
5.392157
10
4,125
1
0
0
0
6.01
18
https://utumishitz.blogspot.com/
## Sunday, October 20, 2024 ### SERIKALI KUCHUKUA HATUA KWA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI **Na. Lusungu Helela - Dodoma ** ** **Serikali imesema itaendelea kuchukua hatua dhidi ya watumishi wa umma wanaothibitika kukiuka maadili ya utumishi wa umma huku ikiahidi kuwekeza zaidi katika matumizi ya TEHAMA ili kudhibiti vitendo vya ukiukwaji wa Maadili Katibu Mkuu, UTUMISHI, Bw.Juma Mkomi ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma wakati akifunga Kikao kazi cha kubadilishana uzoefu wa masuala ya Maadili na Utawala Bora baina ya Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma. Amesema watumishi wala rushwa na walevi na wenye tabia na mienendo isiyofaa kwenye jamii haitawafumbia macho ‘’Hivi karibuni nimewahamisha watumishi wanne kutoka wizara fulani wanaotuhumiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja. ‘’ Kuna baadhi ya watumishi wanalala baa na asubuhi wanakwenda kazini wakiwa wachovu na hawajapiga mswaki na hivyo kuwapa shida wananchi wanapowahudumia’’ ameng’aka Katibu Mkuu Mkomi Amesema dhana ya utumishi wa umma ni maadili na bila maadili hakuna utumishi wa umma hivyo Serikali itaendelea kufanya tahtmini kwa kina kuhusu tabia na mienendo ya watumishi wa umma wakati wote. Kufuatia hatua hiyo Mkomi amesema watumishi wapya watakaokuwa wakiajiriwa wataanza kufanyiwa upekuzi wa kutosha kuhusu tabia na mienendo yao kulingana na majukumu na miiko ya taaluma zao ili kuwa na utumishi wenye taswira nzuri Katika hatua nyingine Mkomi amewataka Waajiri kuimarisha mifumo madhubuti na taratibu za kuwalinda watoa taarifa juu ya vitendo vya ukiukwaji wa maadili na rushwa mahali pa kazi Amesema kumeibuka tabia za baadhi ya waajiri kushindwa kuwalinda watoa taarifa pindi mnapoletewa taarifa ya vitendo vya ukiukwaji maadili, hii sio sawa walindeni hao ni watu muhimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma Mkomi akizungumza wakati akifunga Kikao kazi cha kubadilisha uzoefu wa masuala ya Maadili na Utawala Bora baina ya Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika kwa muda wa siku mbili jijini Dodoma. Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Juma Mkomi akiwa katika picha ya pamoja na Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mara baada ya kufunga kikao kazi cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora baina ya Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaluma, kinachofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma. Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw.Juma Mkomi , wakati akifunga kikao kazi cha kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora baina ya Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaluma, kinachofanyika kwa muda wasiku mbili jijini Dodoma. ## Friday, October 18, 2024 ### NAIBU WAZIRI SANGU AIPONGEZA KWAYA YA TPSC KWA KUIMBA UZALENDO, AIZINDUA RASMI NA KUONGOZA HARAMBEE KUIIMARISHA __Na. Veronica Mwafisi-D____ar es Salaam__ __Tarehe ____18____ ____Oktoba____, 202____4__ Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu ameipongeza kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kwa kuimba nyimbo zinazobeba uzalendo wa taifa la Tanzania. Mhe. Sangu ameyasema hayo leo katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam wakati akimwakilisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene kuizindua rasmi kwaya hiyo na kuongoza harambee ili iweze kujiimarisha. Mhe. Sangu amesema amekuwa asikiliza mara kwa mara nyimbo za kwaya hiyo kwasababu zimekuwa zikielimisha masuala mbalimbali yaliyofanyika katika nchi hii ikiwemo suala ya uzalendo. “Mimi ni shabiki mkubwa wa kwaya hii kabla hata ya kuteuliwa kuwa Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora kwani licha ya kuburudisha imekuwa ikiimba nyimbo za uzalendo, maadili, historia ya nchi yetu na ikielezea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyofanywa na viongozi wa nchi yetu toka awamu ya kwanza mpaka sasa.” Mhe. Sangu. Mhe. Sangu ameongeza kuwa, pamoja na changamoto mbalimbali zinazoikabili kwaya hiyo ikiwemo ukosefu wa studio ya kurekodi na chombo cha usafiri lakini wamekuwa wakishiriki katika matukio mbalimbali na kuweza kutekeleza majukumu yao ya kuburudisha, kuelimisha, kufundisha na kuonya. Ameupongeza uongozi wa TPSC kwa kuongoza na kuisimiamia vizuri kwaya hiyo ambayo imekuwa ikifanya vizuri katika matukio mbalimbali yakiwemo ya Serikali. Katika hatua nyingine Mhe. Sangu amewahimiza wanakwaya na washiriki wengine katika hafla hiyo kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ili washiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa. “Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ndio kipaumbele cha taifa kwa sasa, Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameonyesha mfano na kujiandikisha, hivyo nawasihi wote wenye sifa tujiandikishe ili tuchague viongozi wanaofaa kwa muskabali wa taifa letu. Mhe. Sangu amesisitiza. Awali kabla ya kumkaribisha Naibu waziri Sangu kuzindua kwaya hiyo na kuongoza harambee, Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa TPSC, Dkt. Ernest Mabonesho alisema vijana wa kwaya hiyo wamekuwa wazalendo na waadilifu sana katika kulitumikia taifa licha ya changamoto walizo nazo katika uendeshaji wa kwaya hiyo. Dkt. Mabonesho ametoa shukrani kwa Viongozi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora kwa miongozo na maelekezo mbalimbali ambayo wamekuwa wakiyatoa katika kuiimarisha kwaya hiyo na kuomba kuendelea kuisadia. Albam yenye jumla ya nyimbo 25 imezinduliwa na kiasi cha shilingi milioni 123 kimechangwa katika hafla hiyo. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akizungumza na waalikwa mbalimbali na wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania walioshiriki kwenye uzinduzi wa harambee ya Kwaya ya chuo hicho iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Sehemu ya wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu wakati wa uzinduzi wa harambee ya Kwaya ya chuo hicho iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa TPSC, Dkt. Ernest Mabonesho** **akitoa neno la utangulizi kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu (hayupo pichani) kabla ya kumkaribisha kuzungumza na waalikwa mbalimbali na wanafunzi wa chuo cha TPSC wakati wa uzinduzi wa harambee ya Kwaya ya chuo hicho iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Sehemu ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu wakati wa uzinduzi wa harambee ya Kwaya ya chuo hicho iliyofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
347a78cad98a40236dcf8122cc52dc9d0d14d7d258d5b6e27cd94323efd330c1
1,078
5.564935
43
5,999
1
0
0
0.371058
1.58
140
https://www.utumishi.go.tz/news/serikali-kuchukua-hatua-kwa-watumishi-wa-umma-wanaokiuka-maadili
#### Habari ## SERIKALI KUCHUKUA HATUA KWA WATUMISHI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI Serikali imesema itaendelea kuchukua hatua dhidi ya watumishi wa umma wanaothibitika kukiuka maadili ya utumishi wa umma huku ikiahidi kuwekeza zaidi katika matumizi ya TEHAMA ili kudhibiti vitendo vya ukiukwaji wa Maadili Katibu Mkuu, UTUMISHI, Bw.Juma Mkomi ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma wakati akifunga Kikao kazi cha kubadilishana uzoefu wa masuala ya Maadili na Utawala Bora baina ya Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma. Amesema watumishi wala rushwa na walevi na wenye tabia na mienendo isiyofaa kwenye jamii haitawafumbia macho ‘’Hivi karibuni nimewahamisha watumishi wanne kutoka wizara fulani wanaotuhumiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja. ‘’ Kuna baadhi ya watumishi wanalala baa na asubuhi wanakwenda kazini wakiwa wachovu na hawajapiga mswaki na hivyo kuwapa shida wananchi wanapowahudumia’’ ameng’aka Katibu Mkuu Mkomi Amesema dhana ya utumishi wa umma ni maadili na bila maadili hakuna utumishi wa umma hivyo Serikali itaendelea kufanya tahtmini kwa kina kuhusu tabia na mienendo ya watumishi wa umma wakati wote. Kufuatia hatua hiyo Mkomi amesema watumishi wapya watakaokuwa wakiajiriwa wataanza kufanyiwa upekuzi wa kutosha kuhusu tabia na mienendo yao kulingana na majukumu na miiko ya taaluma zao ili kuwa na utumishi wenye taswira nzuri Katika hatua nyingine Mkomi amewataka Waajiri kuimarisha mifumo madhubuti na taratibu za kuwalinda watoa taarifa juu ya vitendo vya ukiukwaji wa maadili na rushwa mahali pa kazi Amesema kumeibuka tabia za baadhi ya waajiri kushindwa kuwalinda watoa taarifa pindi mnapoletewa taarifa ya vitendo vya ukiukwaji maadili, hii sio sawa walindeni hao ni watu muhimu
ce64639acf367a9abae532568f169e9619c90ef5e921073843060aade908aad6
260
5.730769
4
1,490
1
0
0
0.769231
1.15
33

Dataset Card for sartifyllc/clean_loal_pretrain

Dataset Description

This is a Swahili dataset for CPT.

Dataset Usage

This dataset can be used for [describe potential uses].

Dataset Structure

Features:

  • text: Number of rows 3017
  • token: Number of token so far 0.003997569B
  • token per row: Number of token so far per row 1325.0145840238647

Dataset Creation

Source Data

Data Preprocessing

[Describe any preprocessing steps here]

Considerations for Using the Data

[Add any considerations, such as ethical concerns or potential biases]

Additional Information

[Any other relevant information about the dataset]

Downloads last month
91
Edit dataset card